Kiongozi hebu tusaidie na taarifa zake kwenye website ya bunge zinasemaje???kama kiongozi mkubwa kama huyu anashindwa kuwa mkweli katika suala la kutaja kwa usahihi mwezi na mwaka kuzaliwa, je leo ataweza kutaja na kutafuta masuluhisho ya matatizo ya nchi???
Na huyu kesho mtasikia anapewa uwaziri kamili, au ubalozi au kesho kutwa utasikia ni gavana....
Sisitimu hii ya kuteuana tu bila kujali mtu ni msafi kiasi gani ni shida sana
kimoja hicho cha masters kimeandikwa tareh 7/7/1978, na kingine cha o-level ni 7 january 1975!!
