Siku chache baada ya Mwigulu Nchemba kupewa barua ya kumtaka ache ziara zake ,sasa wabaya wake wamejitokeza na kuleta visibitisho vinavyo onyesha Mwigulu amezaliwa miaka miwili tofauti. Wakati cheti chake cha masters kinaonyesha amezaliwa 1978 ,cheti cha form four kinaonyesha huyu jamaa amezaliwa 1975 Mwigulu njoo hapa utuambie ulizawaje miaka miwili tofauti. .. Source wall page IG by Alberto msando.
![]()
![]()
Huyo jamaa alirudiaga shule primary kwanza jina la Mwigulu na ndio mwanzo wa hizi shida!
Swali langu ni je? Huyo Mwigulu Nchemba Original yuko wapi? most likely hajasoma mana jina limeporwa!