Naanza kuthibitisha zile habari kuwa hata Mwigulu L. Nchemba si jina lake la ukweli......
Hapa Tanzania wapo wengi sana waliojitumbukiza kwenye hii dhambi ya kufoji taarifa muhimu kama majina na miaka ya kuzaliwa!!
Jamani punguzeni kelele apo kwa mchumi namba moja itakuwa typing error tu amezaliwa '1975'......
Mimi ninampongeza kwenye matokeo yake ya chuo.
Haya mambo ya miaka ya kuzaliwa kwa Tanzania bado ni kizungumkuti.
Kuna watu wengi tu ambao nawafahamu walirudia mitihani kwa majina yao au majina ya watu wengine ambao waliacha shule. Kwa sasa wana nafasi nzuri kimaisha na kikazi.
Kuna watu wengine wengi tu walizaliwa katika mazingira ya kimasikini kiasi kwamba hata wazazi wao hawakufahamu kusoma na kuandika kwa maana kuwa, hata miaka yao halisi ya kuzaliwa hawaifahamu bali wamebuni tu.
Kiongozi wa kitaifa unaanzaje kudanganya umma kuhusu umri? Sasa Urais atagombeaje aliyezaliwa 1978? Mwigulu Nchemba njoo hapa useme kilichotokea katika vyeti vyako
ila bora wamewahi kuleta,unajua watanzania ni wepesi wa kusahau,hili nalo litapita,na mwaka huu tutayajua mengi ya ukweli na ya uongo.
hili sio swala dogo kwa mtu kama yeye..ishu ya umri bongo kudanganya mbona sio ishu
Si unajua miaka ya zamani ilikua issue kufaulu?Alifeli baade akaenda kurudia shule ya msingi kwa kutumia jina la mtu mwingine,ila nampongeza sana maana baadae alifaulu, na leo ni Mchumi msomiHuyu Mwigulu Nchemba kuna ripoti kwamba hata jina si lake, katumia jina la mtu tu kusomea.
Nadhani mwaka wake wa kuzaliwa ''official'' ni 1975, ndo maana majuzi hapa wajumbe wa kamati flani walishangilia na kumpongeza kutimiza miaka 40.
Kuna uwezekano mkubwa sana hiyo Transcript ya chuo imekosewa, kwa bahati mbaya. Nilishawahi kukutana na tatizo kama hilo. Sidhani kama hii hi issue kuuuubwa kwa ''wabaya'' wake kuishikia bango kihivyo.
Hao UDSM ni mabingwa wa kukosea,wanaweza kosea hata matokeo yako,mimi naona mwigulu atuletee cheti chake cha NECTA ,hao Udsm watakuwa wamekosea
Si unajua miaka ya zamani ilikua issue kufaulu?Alifeli baade akaenda kurudia shule ya msingi kwa kutumia jina la mtu mwingine,ila nampongeza sana maana baadae alifaulu, na leo ni Mchumi msomi
Jamani punguzeni kelele apo kwa mchumi namba moja itakuwa typing error tu amezaliwa '1975'......
Nadhani mwaka wake wa kuzaliwa ''official'' ni 1975, ndo maana majuzi hapa wajumbe wa kamati flani walishangilia na kumpongeza kutimiza miaka 40.
Kuna uwezekano mkubwa sana hiyo Transcript ya chuo imekosewa, kwa bahati mbaya. Nilishawahi kukutana na tatizo kama hilo. Sidhani kama hii hi issue kuuuubwa kwa ''wabaya'' wake kuishikia bango kihivyo.
Ila amejitahidi kuanza shule mwaka 1987 akiwa na miaka 12 ambapo waliozaliwa mwaka mmoja 1975 mwaka huo walikuwa darasa la 4 lakini kama ni super tall darasa 5 au 6 maana kipimo ilikuwa ni kushika sikio ambalo inategemea na mwili wako. Nadhani alipiga hesabu akaona aliosoma nao wengi wamezaliwa mwaka 77 mpaka 78 akaona achakachue kidogo
Kwanini Waziri unadaganya umri? Njoo hapa ukanushe kuwa kama vyeti si vyako...Sitti mtemvu part 2