Mwigulu Nchemba na kashfa ya kudanganya umri

Mwigulu Nchemba na kashfa ya kudanganya umri

Mbona hapo kunaonekana kuna tatizo kwenye uchapaji tuu? Hivi vitu vinatokea sana! Nilitegemea MsandoAlberto atuwekee cheti cha kuzaliwa cha Mwingulu tuone huo udanganyifu anao jaribu kuonesha! Hapo kuna makosa ya uchapaji hakuna lingine! Ukienda kwenye website ya bunge utakuta kazaliwa 1975.

Wekeni hapa cheti cha kuzaliwa ndio tuone huo udanganyifu..hapo kunaonekana kuna tatizo kwenye uchapaji!
 
Last edited by a moderator:
Averify nani sasa? Yeye Mwenyewe? Certificate issuing authorities? au Mwanasheria?

kokote kwenye mamlaka ya ku certify nyaraka nyeti iwe ni mahakamani au kwa mwanasheria anayetambulika, hii itamsaidia mleta mada aweze kuwa na hoja yenye mashiko. Kwani makaratasi yenye maandishi na namba bila uthibitisho ni rubbish tu mbele ya wachambuzi wa mambo.
 
Mbona hapo kunaonekana kuna tatizo kwenye uchapaji tuu? Hivi vitu vinatokea sana! Nilitegemea MsandoAlberto atuwekee cheti cha kuzaliwa cha Mwingulu tuone huo udanganyifu anao jaribu kuonesha! Hapo kuna makosa ya uchapaji hakuna lingine! Ukienda kwenye website ya bunge utakuta kazaliwa 1975.

Wekeni hapa cheti cha kuzaliwa ndio tuone huo udanganyifu..hapo kunaonekana kuna tatizo kwenye uchapaji!

Mie nilichokiona hapa ni hizo marks, kumbe kweli Mwigulu yupo vizuri kichwani, wanasiasa wengi uwa hawawezi kupata hizo marks.
 
Last edited by a moderator:
NECTA miaka hiyo walikuwa wanaandika miaka yakuzaliwa kwenye vyeti? Labda miaka hii!!
Basi atuletee kadi ya clinic.Huyu jamaa naona urais kaukurupukia kutoka usingizi wa pono! Kikwete kaiharibu taasisi ya urais sana na kama tutaendelea hivi hadhi ua urais kwa Tanzania itatokomea mbali!!!

Rais hawi hivi! Hii ni kashfa kubwa sana!
 
Mzee mwigulu eeee njoo hapa utudadavulie juu ya umri wako? Mzee mwenye ushahidi wa ugaidi wa lwakatare
Mwigulu ni hatari sana

kafoji jina
kafoji umri
Alifoji video ya Lwakatare
Alifoji issue ya Tesha kumwagiwa tindikali, wakati yeye ndiyo alikuwa mhusika wa hilo sakata......then bila aibu anadiriki kusimama mbele ya wananchi eti anataka urais.......shame on youuuuuuu
 
MWIGULU NA SAKATA LA WANAFUNZI KUPELEKWA MAHAKAMANI,
Wanafunzi wa Vyuo vikuu nchini wasema, Mwigulu Nchemba ni mtetezi wa kweli wa Wanyonge, anaitwe SOKOINE WA PILI RASMI.

Kauli ya Ndg Mwigulu Nchemba kuwa wanafunzi wanaotuhumiwa kufanya migomo wasipelekwe MAHAKAMANI kimepokelewa kwa shangwe na wanafunzi wa vyuo vikuu hapa nchini. Akijibu bango katika mkutano wa hadhara uliofanyika morogoro lililosema SOKOINE WA PILI MALIZA TATIZO LA MIKOPO, ndg Mwigulu alusema nimelipokea, tutahakikisha tunaweka vyanzo vya mapato kwenye mfuko wa elimu. Lakini, sioni mantiki ya kuwapeleka hao wanafunzi mahakamani.
1) Mahakamani wapelekwe wezi na mafisadi waliokwapua mali ya umma na haki za watu sio wanafunzi wanaodai haki zao. Kama wamekisa wapewe adhabu za kiuabafunzi tunazozijua.
2) Tungewapa hela yao kwa wakati wasingegoma, hivyo tiba sio nahakamani bali ni kubana matumizi mengine ili fedha iwafikie wanafunzi kwa wakati
3) Viongozi wa wanafunzi wapo kikanuni na husimamia matakwa ya wanaowaongoza. Ni ama usimamie tunayotaka au ujiuzulu, hivyo kuwa adhibu viongozi kama vinara tena mahakaman nikuwaonea.
4) Hawa ni watoto wa masikini, wamesomeshwa kwa shida, kujibana, kuwafukuza na kuwapeleka mahakamani ni kuiadhibu familia nzima na pengine ukoo mzima.
" TUWAPELEKE MAHAKAMANI WALIOIBA MALI YA UMMA MPAKA WANAFUNZI WAKAKOSA MIKOPO BADALA YA KUWAPELEKA MAHAKAMANI WALIOKOSA MIKOPO" alisema Mwigulu huku akushangiliwa na maelfu ya wananchi wakuwepo wanavyuo.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Mwigulu ni hatari sana

kafoji jina
kafoji umri
Alifoji video ya Lwakatare
Alifoji issue ya Tesha kumwagiwa tindikali, wakati yeye ndiyo alikuwa mhusika wa hilo sakata......then bila aibu anadiriki kusimama mbele ya wananchi eti anataka urais.......shame on youuuuuuu

Ndugu yangu ocampo mungu analipa hapa hapa duniani, yale machozi ya waliodhulika kwa hila za mwigulu yanajibiwa na mungu.
 
Kwa kweli mimi nilichoona hapo ni hizo A, A, A, A, A tatizo la umri sijaona kabisaa
 
NECTA miaka hiyo walikuwa wanaandika miaka yakuzaliwa kwenye vyeti? Labda miaka hii!!
sina uhakika,basi passport yake ndo itasema ukweli,ila hayo matokeo ya UDSM yatakuwa yamefojiwa huo mwaka wa kuzaliwa
 
kokote kwenye mamlaka ya ku certify nyaraka nyeti iwe ni mahakamani au kwa mwanasheria anayetambulika, hii itamsaidia mleta mada aweze kuwa na hoja yenye mashiko. Kwani makaratasi yenye maandishi na namba bila uthibitisho ni rubbish tu mbele ya wachambuzi wa mambo.

Majirani zake huko singida wanasema huyu mwigulu sio yeye. huyu ni fake?
 
Siyo wote walizaliwa katika mazingira sawa ya kuweza kuweka kumbukumbu za miaka ya kuzaliwa kwa uhalisi. Watoto wengi waliozaliwa vijijini hasa familia za wafugaji records zao kwenye miaka ya kuzaliwa huwa siyo nzuri. mara nyingi miaka yao au tarehe za kuzaliwa zinakisiwa kwa matukio muhimu mfano mwaka wa njaa, mwaka wa mafuriko au tukio lolote kubwa. Kwa mantiki hiyo upo uwekano wa kutokuwa na miaka sahihi na hilo huenda ndilo Tatizo na Mhe. Mwigulu.
 
Juzi juzi aliadhimisha miaka 40 ni ouvious kuwa alizaliwa 75 hizo error.nyingine.zinatoeaga tu. Angekuwa amesema ni mdogo kuliko miaka 40 hapo sawa tungemlaumu.
 
Back
Top Bottom