palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,463
yeah Victorie nasikia wanakosea sana vyeti vya watu sio grades sio majina sio miaka ya kuzaliwa/kumaliza n.k. katika hili nadhani cheti chake cha kuzaliwa ndio mwamuzi wa mwisho....ole wake alete kama cha Sitti Mtemvu......
mimi nakwambia hiyo leaving certificate ndiyo sahihi zaidi hata kuliko hicho cheti cha kuzaliwa.