Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 5,153
- 7,692
Lione nalo hili! [emoji90]Sasa wewe nyani umetumia vigezo gani kumpinga Mwigulu??
Kwanza kwa nafasi yake ametoa tip tu, mambo ya ushahidi yanaihusu Polisi na Mahakama. Shut up your mouth
Lione nalo hili! [emoji90]Sasa wewe nyani umetumia vigezo gani kumpinga Mwigulu??
Kwanza kwa nafasi yake ametoa tip tu, mambo ya ushahidi yanaihusu Polisi na Mahakama. Shut up your mouth
Kuna maswala ya muhimu zaidi kuliko kuendelea hapa nikipoteza muda na wewe.Mbona mwaka wa 5 huu wewe hujatekwa?
Na hana hata akili ya kujistukia.Ana uongo wa kizamani sana
PM Muongo muongo huyuWewe Mwigulu Nchemba ni muongo sana.
Na inavyoelekea, kusema uongo ni asili yako [pathological liar].
Unadanganya kipumbavu sana. Na kufanya hivyo ni moja ya dalili za kuwa pathological liar.
Unaropoka tu kuwa watu wamepewa hela waandamane.
Hutoi ushahidi wowote ule. Ukibanwa kidogo tu uthibitishe huo uongo wako, unang’aka!
Hata safari iliyopita mlivyoua, ulisema kuna watu wamelipwa. Hukutoa ushahidi.
Sasa umeanza tena. Uzuri ni kwamba watu wala hawakuamini. Wanajua wewe ni muongo tu.
Wadanganye mkeo na wanao. Sisi hatudanganyiki na huo upumbavu wako.
FOH.
jamaa bado ana siasa za mwaka 47
kila nikikumbuka kale kavideo alitenganeza eti kuonesha watu wana mpango wa kufanya fujo sijui kulipua mabomu kwenye mkutano
naona kabisa jamaa bado ana u bush bush mwingi kwa head na hauwezi mtoka kamwe
Mwigulu ni mjanja mjanja. Muuaji. Tapeli.Sasa wewe nyani umetumia vigezo gani kumpinga Mwigulu??
Kwanza kwa nafasi yake ametoa tip tu, mambo ya ushahidi yanaihusu Polisi na Mahakama. Shut up your mouth
Wala si mjinga... Ni propaganda Ili ku-justify ukatili unaopangwa.Na kinachomfanya aonekane mjinga zaidi na asiye na akili ni kuendelea kutumitumia tuhuma hiyo mara kwa mara.
Mwigulu Nchemba ni mshamba sana.Ana uongo wa kizamani sana
Kati ya viongozi wa juu wa hovyo ni huyu mwigulu, mnafiki sana muongo, anapenda kujikweza, kichwa hamna kitu ingawa anajiona smart lakini ni sufuri kabisa huyuWewe Mwigulu Nchemba ni muongo sana.
Na inavyoelekea, kusema uongo ni asili yako [pathological liar].
Unadanganya kipumbavu sana. Na kufanya hivyo ni moja ya dalili za kuwa pathological liar.
Unaropoka tu kuwa watu wamepewa hela waandamane.
Hutoi ushahidi wowote ule. Ukibanwa kidogo tu uthibitishe huo uongo wako, unang’aka!
Hata safari iliyopita mlivyoua, ulisema kuna watu wamelipwa. Hukutoa ushahidi.
Sasa umeanza tena. Uzuri ni kwamba watu wala hawakuamini. Wanajua wewe ni muongo tu.
Wadanganye mkeo na wanao. Sisi hatudanganyiki na huo upumbavu wako.
FOH.
LAzima, ataachaje kuandana mkunduni kwakoKwa hivyo utandamana?
Hawa dhubutu kuuwa watanzania 7/7.Dunia nzima inawatazama hawa wahuni.Wewe Mwigulu Nchemba ni muongo sana.
Na inavyoelekea, kusema uongo ni asili yako [pathological liar].
Unadanganya kipumbavu sana. Na kufanya hivyo ni moja ya dalili za kuwa pathological liar.
Unaropoka tu kuwa watu wamepewa hela waandamane.
Hutoi ushahidi wowote ule. Ukibanwa kidogo tu uthibitishe huo uongo wako, unang’aka!
Hata safari iliyopita mlivyoua, ulisema kuna watu wamelipwa. Hukutoa ushahidi.
Sasa umeanza tena. Uzuri ni kwamba watu wala hawakuamini. Wanajua wewe ni muongo tu.
Wadanganye mkeo na wanao. Sisi hatudanganyiki na huo upumbavu wako.
FOH.
Kmmmmmk lizee liongo sana lile halafu linadhani tunaliamini. Siku hizi wala hatusikilizi ujinga wake maana linapiga tu makeleleWewe Mwigulu Nchemba ni muongo sana.
Na inavyoelekea, kusema uongo ni asili yako [pathological liar].
Unadanganya kipumbavu sana. Na kufanya hivyo ni moja ya dalili za kuwa pathological liar.
Unaropoka tu kuwa watu wamepewa hela waandamane.
Hutoi ushahidi wowote ule. Ukibanwa kidogo tu uthibitishe huo uongo wako, unang’aka!
Hata safari iliyopita mlivyoua, ulisema kuna watu wamelipwa. Hukutoa ushahidi.
Sasa umeanza tena. Uzuri ni kwamba watu wala hawakuamini. Wanajua wewe ni muongo tu.
Wadanganye mkeo na wanao. Sisi hatudanganyiki na huo upumbavu wako.
FOH.
Kama imezuiliwa ni kusubiri wakati muafaka, sio jambo la kudumu siku zote.Wanatafuta justification ya kuua maelfu ya Watanganyika kama walivyofanya 29.10.2025 wamenogewa na damu za Watanganyika hawa wehu.
Tunabadilishaje mfumo?MTU kama Mimi ni realistic najua kuwa kwa Sasa TANZANIA mazingira ya kuandamana sio salama .
Na endapo ukajaribu , lazima upate madhara .
Kwahiyo MTU ambaye ni idealist anajaribu kuandamana akitegemea serikali itamlinda au wazungu ajue anakuwa kajitengenezea tatizo yeye , mwenyewe.