CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 20,976
- 40,955
Huyu ni mpumbavu kabisa.Na kinachomfanya aonekane mjinga zaidi na asiye na akili ni kuendelea kutumitumia tuhuma hiyo mara kwa mara.
Huyu ni mpumbavu kabisa.Na kinachomfanya aonekane mjinga zaidi na asiye na akili ni kuendelea kutumitumia tuhuma hiyo mara kwa mara.
ili vikusaidie nini ukiwa tayari ume r.i.p?siku iyo we kaa ndani
Mbona hajawahi kuonesha vithibitisho,,

Kwa hivyo utandamana?Wewe Mwigulu Nchemba ni muongo sana.
Na inavyoelekea, kusema uongo ni asili yako [pathological liar].
Unadanganya kipumbavu sana. Na kufanya hivyo ni moja ya dalili za kuwa pathological liar.
Unaropoka tu kuwa watu wamepewa hela waandamane.
Hutoi ushahidi wowote ule. Ukibanwa kidogo tu uthibitishe huo uongo wako, unang’aka!
Hata safari iliyopita mlivyoua, ulisema kuna watu wamelipwa. Hukutoa ushahidi.
Sasa umeanza tena. Uzuri ni kwamba watu wala hawakuamini. Wanajua wewe ni muongo tu.
Wadanganye mkeo na wanao. Sisi hatudanganyiki na huo upumbavu wako.
FOH.
Kwanza Mwigulu anao uhalali gani na cheo anachokishikilia sasa.Wewe Mwigulu Nchemba ni muongo sana.
Na inavyoelekea, kusema uongo ni asili yako [pathological liar].
Unadanganya kipumbavu sana. Na kufanya hivyo ni moja ya dalili za kuwa pathological liar.
Unaropoka tu kuwa watu wamepewa hela waandamane.
Hutoi ushahidi wowote ule. Ukibanwa kidogo tu uthibitishe huo uongo wako, unang’aka!
Hata safari iliyopita mlivyoua, ulisema kuna watu wamelipwa. Hukutoa ushahidi.
Sasa umeanza tena. Uzuri ni kwamba watu wala hawakuamini. Wanajua wewe ni muongo tu.
Wadanganye mkeo na wanao. Sisi hatudanganyiki na huo upumbavu wako.
FOH.
Nimeshindwa kuweka alama yoyote juu ya mchango huu; pamoja na kwamba nilitamani sana kuonyesha hisia zangu juu yake.Uongo, fitina na mauaji ndo vimemfikisha hapo. Soon anaenda kuumbuka...
Huyu na samia watapigwa risasi hadharani pale uwanja wa taifa. Lazima washitakiwe na hukumu itakuwa kifo. Wameharibu sana hii nchi.
Hujabadilika chochote, wewe ni mtu mwovu kama walivyo hao wanaokufuga.Sasa wewe nyani umetumia vigezo gani kumpinga Mwigulu??
Kwanza kwa nafasi yake ametoa tip tu, mambo ya ushahidi yanaihusu Polisi na Mahakama. Shut up your mouth
Matusi ni kawaida yako, yangekuwa yanaua basi ningekuwa nimekufa. Amani ni jambo la muhimu kuliko kitu chochote duniani na hususan kwa nchi yetu nzuri ya Tanzania.Hujabadilika chochote, wewe ni mtu mwovu kama walivyo hao wanaokufuga.
Mtu au watu wamekamatwa na vyombo vya dola; lakini hata wasionekane wanakamatwa na taarifa zao ziendelee kuwa siri
Do you have a head or pumpkin on you!
Achana na habari za "matusi"; habari hiyo ndiyo anayotumia Samia kuua na kuteka waTanzania.Matusi ni kawaida yako, yangekuwa yanaua basi ningekuwa nimekufa. Amani ni jambo la muhimu kuliko kitu chochote duniani na hususan kwa nchi yetu nzuri ya Tanzania.
Viongozi huja na kutoka, hata kama Samia alichaguliwa na watu 2% as long as Tume ya Uchaguzi ilimtangaza, anabakia ndiye Rais wetu hadi 2030. Hatuwezi kuleta mabadiliko kwa vurugu, na hili tumeliona Sudan
Kwanini utekwe? Mbona wewe unaandika miaka yote ya utawala wa Samia na haujatekwa?Achana na habari za "matusi"; habari hiyo ndiyo anayotumia Samia kuua na kuteka waTanzania.
Nyinyi ni watu waovu by nature.Period.
Hujui kuwa watu wanatekwa na kuuawa, kwa sababu tu ya kutumia haki yao ya kujieleza; hili nalo unataka tupoteze muda humu kulizungumzia tena kwa kirefu?Kwanini utekwe? Mbona wewe unaandika miaka yote ya utawala wa Samia na haujatekwa?
Mbona mwaka wa 5 huu wewe hujatekwa?Hujui kuwa watu wanatekwa na kuuawa, kwa sababu tu ya kutumia haki yao ya kujieleza; hili nalo unataka tupoteze muda humu kulizungumzia tena kwa kirefu?
Nilikueleza, dhamira uliyo nayo mwenyewe ndiyo itakayokuhukumu; usije humu JF kujifanya wewe ni mtu tofauti na hao waovu wenzio.
Imagine mtu kama Katambi aliyewahi kuwa Chadema akifanyiwa vurugu na CCM leo yupo CCM anawaagiza polisi wawafanyie fujo Chadema!! Hii nchi imejaa watu stupid kote kote, waandamanaji wa leo ndio watawala wa kesho watakaoshika mtutu kuwakandamiza waandamanaji wa kesho kutwa.MTU kama Mimi ni realistic najua kuwa kwa Sasa TANZANIA mazingira ya kuandamana sio salama .
Na endapo ukajaribu , lazima upate madhara .
Kwahiyo MTU ambaye ni idealist anajaribu kuandamana akitegemea serikali itamlinda au wazungu ajue anakuwa kajitengenezea tatizo yeye , mwenyewe.
Aibu kubwa kuwa na mtu ambaye analipwa kwa kodi zetu alafu anadanganya walipa kodi.Wewe Mwigulu Nchemba ni muongo sana.
Na inavyoelekea, kusema uongo ni asili yako [pathological liar].
Unadanganya kipumbavu sana. Na kufanya hivyo ni moja ya dalili za kuwa pathological liar.
Unaropoka tu kuwa watu wamepewa hela waandamane.
Hutoi ushahidi wowote ule. Ukibanwa kidogo tu uthibitishe huo uongo wako, unang’aka!
Hata safari iliyopita mlivyoua, ulisema kuna watu wamelipwa. Hukutoa ushahidi.
Sasa umeanza tena. Uzuri ni kwamba watu wala hawakuamini. Wanajua wewe ni muongo tu.
Wadanganye mkeo na wanao. Sisi hatudanganyiki na huo upumbavu wako.
FOH.
Mzee utumbo wa bata vipi tena mbona unajipa sifa ambazo huna?. Wewe tangu lini uliandamana? Hufai kama utumbo wa bata, wewe uza hayo ma-container yako kwa wajinga wajinga wasiojua bei. Koma kabisa!MTU kama Mimi ni realistic najua kuwa kwa Sasa TANZANIA mazingira ya kuandamana sio salama .
Na endapo ukajaribu , lazima upate madhara .
Kwahiyo MTU ambaye ni idealist anajaribu kuandamana akitegemea serikali itamlinda au wazungu ajue anakuwa kajitengenezea tatizo yeye , mwenyewe.