PostGE2025 Mwigulu: Hatuwezi kuandika Katiba Mpya kila mtu ameshika jiwe mkononi, rasimu ya Warioba haijachomwa ipo kwenye ilani

PostGE2025 Mwigulu: Hatuwezi kuandika Katiba Mpya kila mtu ameshika jiwe mkononi, rasimu ya Warioba haijachomwa ipo kwenye ilani

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

ChekoFagia

Senior Member
Joined
Sep 20, 2025
Posts
115
Reaction score
339
"Hatuwezi kuandika katiba mpya kila mtu ameshika jiwe mkononi, rasimu ya Warioba hajachomwa ipo kwenye ilani"
 
Kuandika Katiba ya nchi siyo kama kujenga vyoo vya shule za msingi. Eti ipo katika Ilani.
 
hivi mmestuka kuwa sikuhizi viongozi wanaongea kwa staha na tahadhari?
Hakuna staha wala tahadhari yoyote ninayoisikia kutoka kwao. Inaonyesha umezoea kukaripiwa hata nyumbani kama hii unaona ni staha na tahadhari.
 
Huyu mhuni Mwigulu anatumika kutupoza. Hatuitambui serikali hii, tarehe 9D Iko palepale.
 
Back
Top Bottom