Na jamaa kichwani mawazo yake yooote ni Urais
Huyo savimbi kamnunua Nani huku ccm? Labda kanunua nyumbu wanao migrate.inasemekana kishaanza kununua wenye njaa
Wamebugi kabisa. Hafai hata kuwa balozi wa nyumba 10
Mwingulu akiwa rais atafukuza raia wote wahamie burundi na somalia