Nyamburi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2011
- 306
- 36
Huyu ndie msomi tena mchumi daraja la kwanza???hii ina tija gani sasa au itasaidia nini kuondoa kero za watanzania?jamaha kweli ana akili ndogo sana,na kaishiwa hoja kabisa!anadhani bado Watanzania wanashabikia u.j.i.n.g.a kama huu?c.c.m ni wachache sana wenye fikra zenye hekima na tija