Mwigulu amvisha mbwa bendera ya CHADEMA

Mwigulu amvisha mbwa bendera ya CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Mosi, nianze kwa kukupa heshima kwa tafsiri nzuri kuhusiana na mbwa. Nimependezwa sana na mwelekeo chanya uliouonyesha kuhusiana na suala hili la mbwa kuvishwa bendera ya cdm.

Pili, kwa namna ulivyoeleza nimejikuta napata swali la haraka haraka kwamba kama waislam hawamtaki kabisa mbwa, hii ina maana gani in the context ya maelezo yako hapo juu?


Sio kweli kwamba waislam hamtaki mbwa hebu ficha upumbumbavu fanya tafiti upuuzi kama huu unaotaka kuuleta kwenye jukwaa la siasa sio mahali pake nenda jukwaa la dini utajibiwa kuwa waislam pia wanamtaka mbwa na imeelezwa ni jinsi gani mbwa afugwe. Wakati mwingine watu kama ninyi mnasababisha ban kwa watu wengine
 
Very low!!!

Like..umeona mkuu??mimi sidhani kama hiki ni kitu cha kujadiliwa hapa kwenye jukwaa..nchemba ameshajionyesha kuwa hana class,sio wa hadhi ya watu wenye fikra pevu kama sisi..anatafuta kujadiliwa,the best gift to him ni ku-muignore kama hayupo.

Nadhani hatua itakayofuata ni yeye kuvua nguo kwenye mikutano yake alimradi aonekane kwenye media..
 
Kama Mwigulu na wenzake walifanya tendo hilo kama insult kwa CDM basi amepotoka, na inathibitisha kuwa siku za ccm madarakani zinaelekea mwisho kwa aina ya wanasiasa waliopo.
Kumvika Mbwa bendera au alama ya chama kingine kila mtu anaweza kufanya, kwa kuwa watu tunamiliki mbwa na mbwa hana itikadi. Kwa kufanya hivyo akifungulia wimbi la siasa za majitaka ccm ndio itakayoumia kwa kuwa tafiti zinaonyesha CDM inaungwa mkono na vijana. Vijana wakiamua wanaweza kuvika bendera au hata picha za kikwete kwa mbwa, nguruwe, kicheche nk. Sidhani kama ndo aina ya siasa tunataka.
Cha kusikitisha ni kuwa katika picha kunaonekana watu walio katika limbi la umaskini wa kutisha, wamevaa kandambili na yeboyebo naa nguo chafu zilizochakaa. Hii ina maana huyu jamaa anaongoza maskini wa kutisha, kama wamevaa hivyo maana yake nyumba ndo itakuwa balaa. Angetumia muda aliopoteza kuhamasisha kilimo cha alizeti jimboni kwake angeponguza hizo yeboyebo
 
Ikithibitika kuwa ni yeye personally, hii ina implication mbaya kwake!
Shida ni kwamba kwa namna yoyote atakataa!


Atakataaje wakati yeye ndio kapost kwa Wall Yake Facebook Mkuu?
 
Sikudhani Tanzania tuna uhaba wa watu wanaostahili kuwa wabunge kwa kiasi hiki. Masikitiko ni kwa wa-TZ wenzangu ambao waliona ni vema,busara na haki kumpigia kura za ndio huyu jamaa.
Inaonekana safari yetu bado ni ndefu.
 
mwigulu mm CCM mwenzio ila hili ckupi surpot hata kidogo. kumbuka umekanyaga umande kidogo tena chuo bora tz na ulinwenguni lkn uyafanyayo hayaendani na jamii ya kistaarabu.
 
Hivi huyu ndio yule msomi mwigilu? Sizani kama ndio yeye,huyu jamaa ni bomba la Dunce and political goon.
 
Nimetoka kwenye ban kwa ajili yake na naamini nitarudi kwa ajili yake.

achanen nae mtaonekana vichaa kama yeye..hiyo kitu haibambi c wanakumbka ile kitu ya dog kuvalishwa tshirt ya Hb Jk
 
Ukikaa na Mwigulu face to face ndo utagundua tatizo lilipo. Utajilaumu kwanni humu mitandaoni watu wanamjadili. He is psycho
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom