Mwigulu amvisha mbwa bendera ya CHADEMA

Mwigulu amvisha mbwa bendera ya CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Wachaga bana,wakifanywa kidogo tu keleeeele,kumbe kweli bana mkuki kwa nguruwe kwa binadam uchungu
 
dawa yake inatokota,jimbo atalisikia na atakuwa mbunge wa term moja tu na hatarudi tena mjengoni,asante yake ya epa itaishia 2015 june.

natmai hapa anawatukana wapiga kura wake kuwa walimchagua tahahira, na cdm no need kurevenge wapiga kura ndo watamtia adabu
 
Kusema kweli napenda sana upinzani lakini siipendi kabisa chadema,hii inatoka moyoni kabisa
 
natmai hapa anawatukana wapiga kura wake kuwa walimchagua tahahira, na cdm no need kurevenge wapiga kura ndo watamtia adabu

thubutu yako,wakati mnaua kijana wa watu mlitegemea ndio mtapata kura na huyo kitila wenu?shame on u.
 
mkiambiwa Mwigulu ana laana na anahusika na mauaji kutokana na akili yake kutokua sawa mnashangaa.... they guy is insane

mwigulu sambaratisha wauaji hao,chanachana kabisa.we ndo kitila mkumbo nini?mwigulu lazima awakomeshe.na huo ni mwanzo tu.
 
Nimefurahi kuona Mbwa katulia hii inamaanisha mbwa kuwa na akili kuliko mgulu
 
Hivi viongozi wa ngazi ya taifa wa cdm including mhe. Tundu Lissu hamuwezi kutengeneza kesi ya kihistoria hapa? Kwa upofu wangu wa sheria, naona it is possible kuburuza watu mahakamani kwa kudharirisha chama chenye wanachama wa heshima kama chadema. Viongozi tafadhali sana tafakarini kuhusu ushauri huu.
 
mwigulu sambaratisha wauaji hao,chanachana kabisa.we ndo kitila mkumbo nini?mwigulu lazima awakomeshe.na huo ni mwanzo tu.
Paw Fang Invisible, ukunga nawagutia
hekima iwe posible, walindwe wanaolia,
mbona iko visible, bunduki yanivutia,
memba kutembea uchi, wapi hadhi ya jamvi?

Ninayo matusi saba, mapya hujayasikia!
nimefunga mkataba, kinywani meyapakia
hayafanani nasaba, taanguka ukiyasikia,
mcheke mchinja mbwa, wazimu ukurudie!!
 
Last edited by a moderator:
Aina fulani ya ujinga, siasa koko,nimeamini kuna vichaa wanaovaa nguo na kuwakilisha watu. Hii inadhihirisha ni kiasi gani Mwigulu Chemba alivyokosa busara. Hana haiba ya uongozi, ccm ikitaka kuendelea wanatakiwa wamwondoe kwenye uongozi. Nimeaanza kumkumbuka wakati tunafanya harakati za siasa za Daruso enzi tukiwa na Zito Nilikiwa sijamfahamu vizuri. Mwigulu ushauri wangu kwako kama mtani wako, tumekaa nawe Seminar room UDSM, tumefanya siasa za Daruso pamoja ingawa hukufanikiwa sana wakati ule, utakuwa mbunge wa awamu moja, ungekuwa na busara ungetulia na kuendeleza siasa ya amani kwa kushughulikia matatizo ya kina mama, vijana, wazee na watoto wanaokaa chini shuleni. mtani wangu komaa akili.:shetani:
 
Heee siasa zimeishafika pahala pa bendera kuvishwa mbwa?
 
Hawa ndiyo viongozi wetu bwana,unategemea nini from him?washazoea siasa za maji taka,za kuchafuana na yupo radhi kufanya lolote ilimradi ye aponee,uwezi kumkuta mbunge,diwani hata balozi yeyote wa chadema kwenye mkutano wake akafanya ujinga huu,wape raia elimu shusha facts watu wajitambue thn waachie wajadili
 
hata wewe pia una uwezo finyu kabisa wa kufikiri halafu sio raia wa tanzania,utakuwa mfyomi wewe.ngoja tikufuatilie.mwigulu ana kosa gani.nyie mliouwa pale ndago mna tofauti gani na huyo mnyama alovaa hyo nguo yenu.

mwigulu bwana umeamua kupambana mwenyewe humu kwa id nyingne kbsa.,?we jamaa unalaana.shame on you...
 
ataacha kutulia vipi wakati amevaa bendera ya ndugu zake.

Duh!!!!Memba wa JF kuanzia Agosti 14, 2012 (umri wa siku tano za JF) unaelekea umekuja na nguvu ya soda! Acha bashasha kijana, waulize akina Ritz watakusaidia kupunguza mikiki.
 
na chadema tutaruhusiwa kufanya ujinga huo mimi nitaanza na picha za kumchafua kikwete..

Weeee hapana hata tusiweke huu ujinga kwenye mawazo!!!!! CDM heshima yake iko juu mno kwa sasa. Kamwe tusijiweke saizi ya huyu kichaa kwa kulumbana nae na ndipo heshima itazidi kuongezeka. Hebu tusonge mbele tujenge chama chetu tuwakomboe watanzania. You can do only one thing at a time let us CHADEMA members and admirers ignore him, indulging ourselves in productivity, diligence influenced by deep discernment.
 
Ukiona hivyo jua kwamba laana za wale alio wafanya kitu mbaya zimeanza kumpata.
 
Huyu si ndiye tuliambiwa ni msomi, tana wa daraja ya kwanza?! Basi huko UDSM inawezekana hata vichaa kugraduate na daraja ya kwanza!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom