MILLIONS MOVEMENT
Senior Member
- Aug 2, 2012
- 148
- 54
Very shallow and poor thinking! Hivi nani anashindwa kuvalisha mbwa au nguruwe bendera au nembo ya chama au taasisi yoyote pinzani. Kama ingekuwa na tija unadhani Chadema wanashindwa kufanya hivyo hata kwa mbwa au nguruwe elfu moja kwa siku wakitaka kwenye mikutano yao inayoendelea kila kona ya nchi na kushuhudiwa na maelfu ya wananchi? Unadhani kwanini hawafanyi hivyo? Huo muda wa kukaa chini na mbwa, "kumbembeleza" na kumvalisha nguo watautoa wapi? Wana majukumu mazito kuliko low-level kama hizi.
Kama anadhani amepatia, hii itammaliza. Usirudie tena kutoa poor argument kama hii.
tatizo hapa sio poor argument aliyotoa ila ni Thinking capacity yake ndo dogo sana!