Hebu anza wewe kumvisha ya kijaniHakuna kosa.tukio la mwaka jana mngeshaandama mpate huruma ya wananchi. Hata mpirani watu wanapitisha majeneza. Mbona kule mwanza CDM mlipeleke jeneza lenye bendera ya ccm kwao masha.
Hakuna kesi hapo. Ww tafuta mbwa valisha bendera ya ccm. Mtan wa jadi unalia nini? Komaa
Katiba inaruhusu kejeli?Soma ibara ya 16 moja na mbili katiba JMT 1977. PiA ibara ya 12 katiba hiyohiyo.
Soma pia 33-34. Sasa cheza.
duh.jamaa jembe la ukweli
kabla ya kuweka tafakari alichofanyiwa yule jamaa we utakiweza? Usiige kun.ya kwa Tembo shauri yako!! Mi naku like ndo mana nakutahadharisha mwenzio alizamishwa Chupa ya Konyagi utaimudu mpendwa wangu?Tena weka ile iliyosababisha ze utamu ikafungiwa
kweli kabisa hakufikia levo ya 'uchamungu' wa Ludovick lakini miungu imemkana seuze huyo!Sasa kikwete kakufanya nini hapo aubunachuki nae tu' sasa jaribu uone utaozea jela na watu wakuruke kwamba hawakujui usifate mkumbo kijana dunia hii, chezea wanasiasa wewe, usiwe mnazi saaana ukasahau na umasikini , utarukwa jasho likutoke
kumpa mbwd gwanda la chadema tena lile la babu slaa
Update kutoka facebook:-
Mwigulu ansema "Vua gwanda valisha mbwa ndiyo operation niliyoianzisha imezinduliwa iramba"
![]()
wadau hii imekaaje? je ni sawa ?
![]()
[video=youtube_share;lZerEan2SZ4]http://youtu.be/lZerEan2SZ4[/video]
![]()
[video=youtube_share;Pm900e4TFc c]http://youtu.be/Pm900e4TFcc[/video]
View attachment 62326View attachment 62329View attachment 62350
Hebu anza wewe kumvisha ya kijani