Mwigulu amvisha mbwa bendera ya CHADEMA

Mwigulu amvisha mbwa bendera ya CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Hi Mwigulu!Remember, ''Ignorance can be cured/treated, but stupidity/ignorance is forever!'' I wish you were ignorant, but you are both stupidy and foolish. Mwana wanee ee mwana wane ee, mwana wane munoko waniukuninokolia?
 
Kwa mtu yeyote mwenye kufikiri kitendo hiki ni chakukemewa kwa nguvu zote, kukubali haya ni kujenga misingi mibovu ya kuingia katika uhasama. Je itakuwaje leo hii kama mtu akimvisha mnyama yoyote wa mwenye tafsiri kinzani na walio wengi bendera ya chama chake. Ninaamini bendera hizo ni alama ambayo kwa jinsi iwayo yote lazima watu waziheshimu maana zimekubaliwa na zimesajiliwa. Kubwa nionalo ni kuwa kuchekelea haya kunaweza kuja tuingiza kwenye vita ya kisiasa bila sababu. Hebu watu wawe na hekima na kufanya siasa za kimaendeleo na kuachana na ujinga wa fikra.
 
jamani hii sio JINAI?
hii imefanyika(tendo) ile ya Lwakatare ni kusudio
au ndio zile substandards???
 
Hii picha ukiangalia vizuri ni wazee wasio hata na matumaini ndio waliksanywa na kuwekwa hapo. Angalia kiatu na suruali ya kijana/mzee aliyemshika mbwa ili avalishwe hiyo bendera! Utamhurumia.
 
Mwigulu kama mamake hakutiwa mimba yake akiwa amelewa basi he must have come from his mothers womb from the back
 
Kikwete ona watu wako hawa sasa wanakudhalilisha ,mtu kama huyu hivi polisi wa huko Iramba mpo likizo au kama kawaida yenu mnasubiri mpinzani afanye ndo mchukue hatua?usalama wa Taifa mko wapi?watu wanahatarisha amani ya nchi nyie mnaangalia tu?huyu mtu alienda Arumeru katoa kashfa za kutosha badala ya kuwajibishwa kapewa ujumbe wa kamati kuu,hii nini sasa?namna gani nyiye watu wa hicho chama?are you seriours?i wonder.
 
Mwigulu kama mamake hakutiwa mimba yake akiwa amelewa basi he must have come from his mothers womb from the back[/QUOTE Kigogo hebu jenga taswira kuwa ni Mnyika kamvisha hata jogoo tu(sembuse mbwa)bendera ya chama kikubwa..........
 
Last edited by a moderator:
Kikwete ona watu wako hawa sasa wanakudhalilisha ,mtu kama huyu hivi polisi wa huko Iramba mpo likizo au kama kawaida yenu mnasubiri mpinzani afanye ndo mchukue hatua?usalama wa Taifa mko wapi?watu wanahatarisha amani ya nchi nyie mnaangalia tu?huyu mtu alienda Arumeru katoa kashfa za kutosha badala ya kuwajibishwa kapewa ujumbe wa kamati kuu,hii nini sasa?namna gani nyiye watu wa hicho chama?are you seriours?i wonder.
CDM mkionewa hivi msikae kimya.Dr Slaa,Mh Mbowe,Mh Tundu,Mh Zitto,mh Mnyika,Mh Lema,Mh Safari,Mh Mabere,MhSugu,Mh Msigwa,Mh Halima,Mh Wenje,Mh Kiwia,Mh Vicent, Mh Machemuli nk,nk mbona hatukusikia tamko lolote la CDM juu ya hili?
Msisubiri kujibu mapigo tu bali hata kuyaanzisha kama kutafuta haki juu ya hili
 
Mwigulu kama mamake hakutiwa mimba yake akiwa amelewa basi he must have come from his mothers womb from the back[/QUOTE Kigogo hebu jenga taswira kuwa ni Mnyika kamvisha hata jogoo tu(sembuse mbwa)bendera ya chama kikubwa..........

Mnyika hajalelewa jalalani kama hao watoto waliopatikana vilabuni
 
Last edited by a moderator:
CDM mkionewa hivi msikae kimya.Dr Slaa,Mh Mbowe,Mh Tundu,Mh Zitto,mh Mnyika,Mh Lema,Mh Safari,Mh Mabere,MhSugu,Mh Msigwa,Mh Halima,Mh Wenje,Mh Kiwia,Mh Vicent, Mh Machemuli nk,nk mbona hatukusikia tamko lolote la CDM juu ya hili?
Msisubiri kujibu mapigo tu bali hata kuyaanzisha kama kutafuta haki juu ya hili
Hakuna kosa.tukio la mwaka jana mngeshaandama mpate huruma ya wananchi. Hata mpirani watu wanapitisha majeneza. Mbona kule mwanza CDM mlipeleke jeneza lenye bendera ya ccm kwao masha.
Hakuna kesi hapo. Ww tafuta mbwa valisha bendera ya ccm. Mtan wa jadi unalia nini? Komaa
 
Kwa namna hii hakuna mtu atabisha kwamba Mwigulu hawezi kufanya/kuratibu matukio ya ugaidi nchini. Ana roho mbaya kama ya paka, ni roho ya uchawi na uuwaji.....na wote wenye mawazo kama ya mwigulu nyote ni mashetani
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom