LUCIFER
Senior Member
- Aug 14, 2012
- 183
- 88
Why? kwan tunajuana mimi na wewe n y uwe curious na maamuzi ya mtu ambayo haya affect maamuz yako?Mkuu,I am very curious..majina yaliisha mpaka ukajiita hivi?!
Why? kwan tunajuana mimi na wewe n y uwe curious na maamuzi ya mtu ambayo haya affect maamuz yako?Mkuu,I am very curious..majina yaliisha mpaka ukajiita hivi?!
Mmmm Makombo hamna jamani.pengine ni neema kwa cdm maana hata mbwa wanapata shida kwa sababu shida imekuwa kubwa kiasi hata majalala yanakosa vyakula walivyozoea kujiokotea hao mbwa.hata hivyo mimi naamini huyo mbwa ana akili kuliko mwigulu maana ndio rafiki pekee ambae mwigulu ameona kuwa anamfaa.my take sishangai kwa mwigulu kumvika mwenzie upuuzi wake.hii chadema hii itawaua mwaka huu.