Mwigulu amvisha mbwa bendera ya CHADEMA

Mwigulu amvisha mbwa bendera ya CHADEMA

Status
Not open for further replies.

Mkuu hapo kwenye
red - good point! Nawashauri CHADEMA walichukulie hili tukio in a very positive way. Turufu nzuri sana ya kisiasa hii - hata viumbe sasa wanatangaza mabadiliko.

Hahaha mshauri KIBABU KIBACHELA NA DJ
 
Mwigulu najuta kuku support kwenye mbio zako za kuingia mjengoni kama ningali fore see kuwa kijana mwenzetu badala ya kuleta mapinduzi ya kifikra una behave kama unavyofanya hasa baada ya kupewa asali kwa ncha ya kisu would have never supported you kuingia mjengoni. Mara hii umesahau tuliyoya ongea wakati ule?
 
Hata hivyo kama hata mbwa wanakubali mabadiliko who cares?
 
Mwigulu! Mwigulu! Mwigulu duuuh jamaaa unajua kukera! Haya bana, operation vua gwanda valisha umbwaaa! Yaaan umbwa anavaa chadema? Yaan kwa iramba mbwa ndio wafuasi wa chadema!
 
wauaji wengi huanza na kutesa wanyama.bila shaka mtu wa namna hii ni wa kuchunguzwa.
namuonea huruma mke/girlfriend wake kwa sababu studies zinaonyesha mtu anayenyanyasa wanyama mara nyingi hutesa familia yake.

Angekuwa ni mtu wa CHADEMA kafanya hivi, ungesikia Jamhuri inampeleka mahakamani. Hawa jamaa Wana kinga ya kufanya lolote wakati wowote ila siku zao zinahesabika.
 
images
images
images
images
images
images
images
images
images
images
images
images
images
images
images



  • Kwa wenye upeo mdogo kama hao waliovisha mbwa bendera ya Chadema wakifikiri kama tusi kumbe walio wapana katika kufikiri ndio wameenzi vizuri chadema, kwa kuwa mbwa ni mnyama pekee mwenye ukaribu na binadamu.
  • i mbwa ambaye ni mlinzi pekee wa binadamu kati ya wanyama wengine.
  • Ni mbwa pekee mwenye kuenziwa na kushirikishwa katika familia za binadamu kuliko mnyama mwingine ye yote.

NB: Sifa pekee kabisa ya mbwa ni kwamba hata shetani na wenye kutumia nguvu za ibilisi wanamwogopa mbwa kwani hata kama hawataonekana kwa macho lakini harufu yao itagundulika. Ndio maana hutakuta hata mara moja wanaofanya secret services iwe binafsi au serikalini katu hawafugi au kuchangamana na mbwa kwa vile huwaumbua vilivyo. Polisi pekee ambao hufanya mambo yao mwangani ni rafiki na mbwa kwa vile husaidia kufunua vilivyofichika.

Umeshawahi kuona waganga wa kienyeji wenye kujihusisha na mambo ya uchawi au ye yote anayejihisisha na uchawi au secret services wanafuga mbwa?
Jibu ni hapana.Mbwa ni mnyama rafiki wa binadamu na waliofikiri wanafanya kwa kufanya chuki wamepotea, bora watafuti kitu kingine.

Hizo zote ni Bendera za Nchi na si za Vyama!

Mwigulu naye ni limbwa linavaa bendera ya Tanzania
 
Jimbo lishachukuliwa '15 na M4C...ametuokolea muda na energy!!CDM hakuna kujibu chochote kwa hili. We have a lott to do for this country not this **** and insane nigga!!
 
Lengo na maudhui ya Mwigulu ni kukitabiria CHADEMA mabaya kwani wengi wetu twamchukulia mbwa kama ishara ya ubaya. Kwahilo hata mwenyekiti wake, JK na CCM watamchukia kwa hofu kubwa ya revenge ya wanaCDM. Nasikitika nyota yake Mwigulu imeshaingia gizani kwa laana ya wanyama na watanzania wa leo wanaoamini ukombozi wao uko mikononi mwa CHADEMA. Pole ndugu Mwigulu, ungehamisisha wanakijiji kujenga japo chumba kimoja cha walimu kule kijijini kwetu ingelipa zaidi.

Kwa upande mwingine kiuwkeli Mbwa ndiye mnyama pekee anayeheshimika na kupewa malazi bora, lishe bora, elimu hususan ya ulinzi na maisha bora. Ndiye mnyama ambaye hapendi uchafu ukiwemo nguvu za giza n.k. Uchafu huo CDM haumo. Hivyo kwa walewa wa wanyama hususan mbwa na paka. Umekipaisha CDM kwasana.

Kwakuwa ulikuwa na lengo baya kwa mnyama huyo, tunakushukuru sana Mwigulu kwa kutuonyesha tena kuwa tulikuchagua kwa makosa, hukustahili hata kidogo kuwa hata balozi wa nyumba kumi na tunakuahidi kuwa hatutorudia makosa hayo 2015.
 
pole sana inamaana umempa CCM akulinde..kwanza hata unapo mwita hujisikii vibaya maana mimi neno CCM linani kera sana hata kulitamka...

Mbwa wangu si wa kunilinda, ni wale pet! Ana sura mbaya huyo!!!!
 
Mwigulu ana matatizo ,tokea awali mambo yake ni mikosi tu,tena hiyo oparation yake ikiendelea itamfikisha pabaya inaonesha hajui hata maana ya bendela,hivi leo ikichukuliwa bendela ya ccm ikavishwa kenge au paka tutafikishana wapi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom