Bado kuna watu wanamsikiliza huyu jamaa?
Ni kiongozi jasiri,ni kiongozi mzalendo,nikijana shupavu,amejitolea kuipigania Tanzania ya kweli,amejitolea kupambana na wahujumu wa nchi popote pale Tanzania,Ni Mh.Mwigulu lameck Nchemba
Ha ha ha ha ha Mkuu Kongolo.. Umenifanya nicheke hapa.. Na kweli hii ni saluti ya kosovo.. Wanampigia mwenye chama mdogo lol..
Mbona wanajiiita chama tawala,kinatawala nini kama haya yanatokea na Kiongozi mkubwa kabisa wa chama tawala anaropoka tuu mtaaani.Ni kama mtoto aje akwambie baba nimepigwa na mtoto wa jirani halafu baba naye anasema hata mimi nilimwona akikupiga,amempiga pia mtoto wa yule jirani wa juu,halafu umenyamaza.Mtoto huyu atamwona huyu baba yake huenda hazipo,siku nyingine atamwambia Mama.Kumbe kuna umuhimu wa CDM kuimarisha Red Brigade maana wao ndio wanaoweza sasa kutumainiwa.Dawa ya CHADEMA ni kuwaambia ukweli kama afanyavyo Mwigulu Lameck Madelu Nchemba. Big Up sana MWIGULU
Safi sana Mwigulu. . Hizo ndizo siasa za CHADEMA. . Wao wanauwa wananchi kwania ya kutafuta huruma kwa wananchi. . .
Asante CCM kwa kumleta Mwigulu kuwa mwiba kwa CHADEMA
Wananchi tumeshawajua wauwaji nyinyi