Unajua mimi najaribu kufikiri ni wapi ccm inajaribu kuipeleka hii nchi nashindwa kupata jibu fasaha na la uhakika sana. ccm ni chama tawala, ccm ndio imeunda serikali na vyombo vyote vya ulinzi na usalama halafu Dr Slaa na Freeman Mbowe ambao hawana jeshi wala chochote wanaua raia wa Tanganyika wasio na hatia then hadi leo tunaongea Dr Slaa na Mbowe bado wapo uraiani wanaendelea na maisha tena bila wasi wasi wowote tena wanaendelea kutoa elimu ya uraia kwa watanganyika wasioelewa haki zao za msingi katika nchi yao ya maziwa na asali!!!!! Leo hii anaibuka mwehu mmoja tu anajiita mwigulu Nchemba na mwenzake sijui Lukuvi ambao ni viongozi wakubwa tuu wa ccm na serikali yake bila aibu tena bungeni wanapokaa wanatumia pesa za watanzania kujilipa posho wanaanza kuongea upuuzi mtupu kama huu kwamba wauwaji wa raia ni Dr Slaa na Mbowe halafu hawajachukuliwa hatua yoyote kweli!!!!! halafu mwenyekiti wa ccm anasikia upuuzi huu anakaa kimya na kuchekelea kwamba vijana aliowatuma kazi wanafanya vizuri sana kwa kufuata maelekezo ya mwenyekiti!!!!! kweli??? sasa katika muktadha huu kwanini tusiseme kwamba Tanzania hakuna serikali?? kwanini tusiseme kwamba Tanzania hakuna Rais?? maana rais aliapa kuilinda katiba ya Tanzania na katiba inasema kwamba kila raia ana haki ya kuishi then watu wanavunja katiba kwa kuua raia wenzao bila sababu yoyote then bado wapo uraiani wanadunda tu, kwelii??!!!! kwanini serikali isiwakamate watu hawa na kuwafikisha kwenye vyombo vya sharia kushtakiwa?? kama wameshindwa kuwakamata na kuanza kuingiza siasa kwenye maisha ya watu basi ina maana serikali hapa ndio muuwaji wa raia wake!!!!!!! ni mara ngapi tumeshuhudia polisi wanatumia risasi za moto na mabomu kuua raia wasio na hata mawe????? hapa seriakali ikubali tu imeshindwa kazi na istep down ili kuondoa hii fedheha kwa watanzania. shame on you wanasiasa uchwara wa aina ya Mwigulu na ccm wote kwa unafiki uliowajaa. muda waja mtalia na kusaga meno!!!!!! nina hasira sana na hawa watu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!