Naomba kujua matumizi rasimi ya rangi ya bendera ya Taifa,kwani nahisi kwa sasa inanajisiwa na vichaa wachache,miaka 10 iliyopita ilikuwa hata kibaka akiiba akikimbilia kwenye mlingoti wenye bendera ya taifa haguswi,lakini naona leo wazinzi na majambazi wamefanya ni vazi lao rasimi
Hatudanganyiki ng'o, angojee muziki wa 2015
Wenzako wanavaa...utakufa kwa husda.poleHilo vazi hata kwa kulipwa Siwezi kulivaa.!!!