utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,812
Watembea na sumu hadi bar wanalia huku, mwigulu wape dozi huko mbeya, km iramba tuuu
Tulia dawa iingie vizuri weweeeee!!!!! Mwigulu ni mwiba acha uwachome vizuriMwigulu amedata... Ila namsifu kwa kum take care Juliana....
Mwigulu nchemba ni mwiba mchungu mno kwa chadema, wazee wa sumu, wazee wa matamko, wazee wa wake za watu...akifanya jambo dogo tu ufipa pale hakukaliki, panawaka moto...
Baada ya kuona kombati alizoanza kutumia Mbowe CHADEMA na kisha kukubalika kwa watu wengi nchini, hasa vijana, Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, Kaka Mwigulu Nchemba naye ameamua kuwa muasisi wa kombati zenye rangi ya kijani na njano, lengo lake akitaka vijana wavue kaki (Gwanda) wavae nyano na kijani (gamba). Ni wazo lake jipya
View attachment 96301
mkuu ni kama ulikuwa kwenye mawazo yangu, maana hizo rangi ni kama za maafisa wa jeshi, na hizo mbwembwe zao ndo kabsa, mcheki mwigulu alivyosimama kama mjeda, gwanda lina mbwembwe kama kachumbari. ila wasipoangalia zitatumika vibaya.
Tulia dawa iingie vizuri weweeeee!!!!! Mwigulu ni mwiba acha uwachome vizuri
hiv hawaoni aibu na makijani hayo? mi siyapendi natamka hadharani