MamaBeata
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 325
- 112
Mbona wote ni wamoja tu toka kitambo!!
umoja wao uko wapi?
Mbona wote ni wamoja tu toka kitambo!!
Mbona wote ni wamoja tu toka kitambo!!
Mbona wote ni wamoja tu toka kitambo!!
Povu lina watoka pro-CHADEMA, pilipili ya shamba ina wawashia nini?
Kama ubunifu tu wa vazi wa Mhe Mwigulu ndio una wafanya muweweseke hivi, Je, huo mchaka mchaka wake kwenye chaguzi za 2014 na 2015 si ndio mtahama nchi nyinyi?
Viva CCM via Mwigulu.
Kombati ile kitu ingine bana;;;; uliona wapi kombati ya njano???ya kijani??? Kafulia!!!!!!!!!!!! Ila jamaa unafiki unaumudu sana na yuko tayari kwa lolote kwaajili nya njaa yake ya tumbo. Na Mungu kamsaidia Wwatu wa Iramba wamejilalia usingizi wa pono:kev:Baada ya kuona kombati alizoanza kutumia Mbowe CHADEMA na kisha kukubalika kwa watu wengi nchini, hasa vijana, Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, Kaka Mwigulu Nchemba naye ameamua kuwa muasisi wa kombati zenye rangi ya kijani na njano, lengo lake akitaka vijana wavue kaki (Gwanda) wavae nyano na kijani (gamba). Ni wazo lake jipya akifikiri itakuwa ni mbinu ya kuwateka vijana wengi ambao kiukweli wako upande wa gwanda. Sasa hata ameamua kuweka chini skafu aliyozoea kuivaa na badala yake ameamua kuning'iniza shingoni ifananayo na zile za CHADEMA. Nisiseme mengi, wenyewe mwoneni hapo chini na vazi lake:
View attachment 96301
Baada ya kuona kombati alizoanza kutumia Mbowe CHADEMA na kisha kukubalika kwa watu wengi nchini, hasa vijana, Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, Kaka Mwigulu Nchemba naye ameamua kuwa muasisi wa kombati zenye rangi ya kijani na njano, lengo lake akitaka vijana wavue kaki (Gwanda) wavae nyano na kijani (gamba). Ni wazo lake jipya akifikiri itakuwa ni mbinu ya kuwateka vijana wengi ambao kiukweli wako upande wa gwanda. Sasa hata ameamua kuweka chini skafu aliyozoea kuivaa na badala yake ameamua kuning'iniza shingoni ifananayo na zile za CHADEMA. Nisiseme mengi, wenyewe mwoneni hapo chini na vazi lake:
View attachment 96301
Mkuu vipi, umenifananisha nini?Ninyi ndo mwamuwewesekea, siye tunamshangaa tu! Sasa nyie mtokwao na mapovu kila muonapo Mwigulu akitajwa basi mtakuwa ndo wale ambao mko kwenye pay-list yake. Basi nanyie vaeni vazi kama hilo alilovaa halafu muingie nalo kitaa muone karaha yake....
Magamba = JWTZ = Policcm = Mahakama = Tume ya Uchaguzi = Takukuru = RUSHWA = UFISADIDaah hapo wanatuchanganya sasa
Kuna watu huku watakufa siku si zao wakimwona Mwigulu ni presha ina panda
mimi navyojua sanda haihitaji mbembwe.
so hili ni vazi lo kuzikwa nalo ama??
Povu lina watoka pro-CHADEMA, pilipili ya shamba ina wawashia nini?
Kama ubunifu tu wa vazi wa Mhe Mwigulu ndio una wafanya muweweseke hivi, Je, huo mchaka mchaka wake kwenye chaguzi za 2014 na 2015 si ndio mtahama nchi nyinyi?
Viva CCM via Mwigulu.
Mkuu vipi, umenifananisha nini?
Wewe ndio utakua upo kwenye payroll ya hao Magamba wenzako.
Ni bora unitukane kuliko kunihusisha na hao wariberali!!