Waachee waoane.Kuna muda maalumu wa kufunga na muda mwengine ruhusa kula halafu bahati mbaya au nzuri sisi dini yetu huwa hatujiamulii tu kwamba nikiamua nnafanya hyo sio dini ndio maana Christian kuna kipindi mnabadilisha hadi Sheria za kwenye bibble nakuweka zenu na Sasa hv mnataka kuruhusu kuoana jinsia moja
View attachment 1752904
Yaani comment za humu zinafurahisha. Chuki za kidini ni kubwa sana kuliko nilivyodhani, ila mitaani watu wanaogopa kuwa wa-wazi maana tunafahamiana.Hivi haya mnayoyaandika huwa mmefanya utafiti au ni stori tu za mitaani? Mwizi hana dini mzee,
Acha mihemko soma uzi upyaHuu uzi pia ni mzaha kwa waislam ila kwakuwa JF ni ya wakristo hutaona wakifanya chochote ndio maana naona mods ni wapumbavu tu
Huyu jamaa anamihemko mno na huo uislam wakeSasa hapa mmedhalilishwa nini ndugu?
ISISLete ushahidi unaoonyesha kama ni waislamu!!!!!. Maana mkishakaririshwa na mabeberu nanyi mko fasta kuamini. Na mavazi wanayotumia ndio kabisaa mnaamini.
Na kama kweli ni waislamu, tambua kuwa uislamu unakataza yote hayo, kwa maana wako nje ya mafundisho ya dini/uislamu.
Amesema msimpangie cha kupost, na biashara yake ya kitimoto msiisumbue iendelee kama kawaida. Sasa wewe umedhalilishwa nini hapo?Alichokileta mleta mada kwako ni sahihi?? Naomba unijibu!
Angalia usije ukafungulia funga yakoWewe mama kuwa na busara/hekma unachokiongea, na muogope Mungu.
Kwahiyo unataka kutuambia uhalifu unaofanywa na wezi/majambazi wahusika wakuu ni waislamu??? Unaweza kutuletea ushahidi???
Mbona tunakula vizuri,lets say tupo kazini au sehemu ya biashara niache kula kwasababu wewe muislamu upo?Kama ujanja huo mnao jaribuni kumla mbele ya waislamu, humu mnaongea kwa kujigamba, sasa jaribuni kufanya kweli muone kitakachowapata 😀
Huyu jamaa anashida saana kuna mchangiaji mmoja hapo juu post #153 kaongea vizuri saaaana kwa busara kuubwaAngalia usije ukafungulia funga yako
Mkuu umeongea kwa busara saana, nikutakie swaumu njema
Wakristu walivyofunga mlikula kwa kujificha? Au nyie ndo mna haki zaidi?
Mnatakiwa mkifunga muweze pia kuvumilia kishawishi cha kutamani kula, wakristu wanafunga sana tu sio kwaresma pekee bali unakuta mtu ana maombi yake binafsi anafunga na ukimkaribisha chakula anakwambia asante nimefunga.Demi hujambo? Habari za siku rafiki?
Ok, ipo hivi:
Nimefuatilia kwa ukaribu zaidi swala hili na nimegundua kifuatacho....
Ni zaidi ya utafiti mzee,.Hivi haya mnayoyaandika huwa mmefanya utafiti au ni stori tu za mitaani? Mwizi hana dini mzee,
Mnawakwaza dini nyingine..wakati wao hawajawahi kuwakwaza. Mna tabia za kibinafsi (am sorry to say this) kulazimisha mambo ambayo wengine haituhusu.
Mlitakiwa muwe na nchi yenu mkae wenyewe huko maana hamna uvumilivu wa kuheshimu imani za watu wengine.
Mkristu hakereki wewe ukila kama yeye amefunga.
Kusema mwezi wa ramadhani raia wanaweza anika nguo usiku kucha?Taja eneo uislam ulipodhalilishwa
SijakuelewaKusema mwezi wa ramadhani raia wanaweza anika nguo usiku kucha?
Nenda Insta Dogo, Huku Hautopata WafuasiNi juzi tu 04.04.2021 Wakristo tulimaliza mfungo wa kwaresma
Tokea Kwaresma inaanza hadi inaisha hatujawahi kuwapangia watu (dini yoyote) ni vitu gani wapost kwakuwa sisi tupo kwenye mfungo...