Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
Nasikitika kuwataarifu wana cc kuwa Bibi yangu kizaa Baba amefariki leo.Bibi ambaye alikua na umri mkubwa unaotazamiwa takribani mwiaka ipatayo 80 amefariki kwa uzee katika kipindi ambacho bado tunamuitaji,ilikua ni kawaida yake kwa kila tuendapo likizo alipenda kutuambia kuwa "nadhani hamta nikuta".Sisi tulimpenda lakini Mungu amempenda zaidi.R.I.P BIBI YANGU KIPENZI.