MAGALEMWA
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 6,413
- 4,889
Kwani Lipumba na Slaa simliwalipia gharama zote Serena?Yaani kujitoa CCM unaenda kutangazia hotelin, unalipia conference pamoja na refreshment. huyu bora ameondoka mapema haendani na kasi ya Magufuli. Magufuli kafanya mkutano mkubwa na wafanyabiashara wakubwa hapa nchini kafanyia ikulu. aende tu huko kwa mafisadi wenzie