Sanasana kitakachofuata ni wachaga kutengwa najamii nyingine za kitanzania, kuna kitu mnakitengeneza kitawagharimu siku za mbele
Nilishangaa sana eti mpaka leo hajaondoka wakati bwana wake hayupo tena ccm.
Mwenyekiti Umoja wa Wanawake Tanzania CCM Arusha (Vicky Mollel) ajiunga Chadema Leo Katika ukumbi wa Safari Hotel, hii inafanya CCM Arusha kubaki ofisi tu na wanaowanunuanua..
Kwani Lipumba na Slaa simliwalipia gharama zote Serena?
Mwenyekiti Umoja wa Wanawake Tanzania CCM Arusha (Vicky Mollel) ajiunga Chadema Leo Katika ukumbi wa Safari Hotel, hii inafanya CCM Arusha kubaki ofisi tu na wanaowanunuanua..
Huyu ni masalia ya Lowassa na tayari alikwishasimamishwa kutoshiriki kampeni za mbunge kwa sababu ya kufanya kampeni za siri kumhujumu mgombea wa CCM. Huyu Vicky Mollel ni mmoja wa vibaraka wakubwa wa Lowassa, aende huko na usishangae akapewa udiwani wa viti maalum manake huko hivyo vyeo vinatolewa kwa mashosti,mahawara n.k.na sifa nyingine za huyu mama ni kumtelekeza mumewe na kujirusha na vijana wadogo na mmojawapo ya vijana waliopita naye ni mtu wangu wa karibu
Huyu ni masalia ya Lowassa na tayari alikwishasimamishwa kutoshiriki kampeni za mbunge kwa sababu ya kufanya kampeni za siri kumhujumu mgombea wa CCM. Huyu Vicky Mollel ni mmoja wa vibaraka wakubwa wa Lowassa, aende huko na usishangae akapewa udiwani wa viti maalum manake huko hivyo vyeo vinatolewa kwa mashosti,mahawara n.k.na sifa nyingine za huyu mama ni kumtelekeza mumewe na kujirusha na vijana wadogo na mmojawapo ya vijana waliopita naye ni mtu wangu wa karibu
Clandestine sabotage underway!