Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,570
sasa ccm inajivua gamba kweli makapi yanazidi kuondoka mpaka novemba 2017 itabaki ccm safii
Mbona unatokwa na povu hivyo ?
sasa ccm inajivua gamba kweli makapi yanazidi kuondoka mpaka novemba 2017 itabaki ccm safii
amesema amechoka kukaa kwenye chama cha wauwaji...
Na bado, mtaondoka tu na hii safisha safisha.
Mjipange tu kujibu zile mali mlizojilimbikizia mlipataje, msifikiri kwa kukimbilia huko kunakununuliwa watu ndiyo hamtaulizwa.
Mwenyekiti Umoja wa Wanawake Tanzania CCM Arusha (Vicky Mollel) ajiunga Chadema Leo Katika ukumbi wa Safari Hotel, hii inafanya CCM Arusha kubaki ofisi tu na wanaowanunuanua..
Mwenyekiti wa tawi?
pia amekabidhibkadi za akina mama 143 za CCM...
sasa ccm inajivua gamba kweli makapi yanazidi kuondoka mpaka novemba 2017 itabaki ccm safii
Mimi mwenyewe nina mpango wa kuhama chadema nakuhamia ccm rais nilie kuwa namtaka nikama magufuli bado mwezi mmoja mwingine nihakikishe kasi yake hapa kazi tu
Opesheni TOROKA UJE bado inaendelea wanatakiwa kuja wote Arusha ni ng'ombe ya CHADEMA hatutaki majizi sisi.
CCM Arusha hawana tena viongozi halafu wanaota ushindi