Mwenyekiti wa UWT Arusha ajiunga CHADEMA leo

Mwenyekiti wa UWT Arusha ajiunga CHADEMA leo

nasikia Mme mwenyewe ni wewe, pole kwa kutelekezwa...

Huyu mama anafahamika kwa Hilo la mwisho nililolisema, nenda Arusha eneo la sokon one anapotokea uulize uone kuwa si majungu. Serengeti boys wamefaidi sana, na kuhusu kufukuzwa ipo barua iliyoandikwa siku za nyuma na katibu wa ccm wilaya ya Arusha kumpiga stop uongozi
 
Safi sana. Unajua CCM imeshakufa. Iliyobaki ni serikali ya Magufuli ambaye anatekekeza ilani ya UKAWA. Magufuli hana chama na kamwe hatakubali kuwa mwenyekiti wa CCM baada ya mkwere kumaliza muda wake.
 
  • Thanks
Reactions: Art
weka ushahidi. kama huna ushahidi shut up domo lako
Ushahidi haupewi mjinga kana wewe hapa JF. Nangoja kesi ifunguliwe mahakamani nitapeleka ushadi maana ninao.

Wewe pamoja na wajinga mabwana zako wanaokutuma hamna uwezo wa kufungua shauri hata kwa katibu kata.

PELEKA SHARI MAHAMANI TUKUTANE HUKO
 
khaa!! rinaitwa vicky moreli. ririkuwa mpaka reo rina subiri nini? wenzake waliisha sepa. riende tu riende tu, riondowe uvundo wake ccm arusha.

nawashanga wamasai wachaga na makabila ya kaskazini na wakatoliki bado yanajipendekeza ccm wakati CCM wanawaambia chama chao ni Chadema..
 
Mwenyekiti Umoja wa Wanawake Tanzania CCM Arusha (Vicky Mollel) ajiunga Chadema Leo Katika ukumbi wa Safari Hotel, hii inafanya CCM Arusha kubaki ofisi tu na wanaowanunuanua..

Anjua mchango wake katika maovu yanayosafishwa na JPM, hivyo ameamua kuweka maji ili wembe wa sheria utakapomfikia aweze kudai kuwa ni wa kisiasa.
 
Anjua mchango wake katika maovu yanayosafishwa na JPM, hivyo ameamua kuweka maji ili wembe wa sheria utakapomfikia aweze kudai kuwa ni wa kisiasa.

hivi unawajua wanaoitafuna hii nchi..ukitaja orodha huju vipi kwenye watafuna nchi mil 10 nae atakuwepo!? acha ujinga fatilia Home shopping centre ufe...bado mikataba ya madini, gas, biashara ya madawa ambao mzazi aliufyata kuwataja licha ya kuahidi kuwataja...
 
hivi unawajua wanaoitafuna hii nchi..ukitaja orodha huju vipi kwenye watafuna nchi mil 10 nae atakuwepo!? acha ujinga fatilia Home shopping centre ufe...bado mikataba ya madini, gas, biashara ya madawa ambao mzazi aliufyata kuwataja licha ya kuahidi kuwataja...

Mbona mapovu yanakutoka kama wewe huna ujinga? Kumbuka kuwa

(a) Katika sheria ya wizi: mwizi wa shilingi moja na mwizi wa shillingi trilioni moja wote ni wezi na wanastahili adhabu. Adhabu zinaweza kutofautiana lakini wote wanastahili adhabu.

(b) Serikali inaposhughulika na wahalifu, huwa haiwashughulikii wote kwa pamoja, kila mhalifu ana siku yake. Ya huyo mama (kama kweli na yeye ni mmoja wao) haijafika na vile vile ya Home shopping CDenter nayo haijafika- Kuwa na subira usitokwe na mapovu hovyohovyo.
 
12341107_528191100681814_8267507996137284057_n.jpg
 
akili za ma secretary utazijua tu. hivi mtu mmoja akiropoka ndo imekuwa watanzania wote? hata hivyo kama kweli watanzania wa pande zote wataungana kuwapinga mnafikiri huko kaskazini mnaweza kutoa rais? utafikri una ubongo kichwani kumbe mavi.


Nchi imetiwa kidonda ndugu cha mgawanyiko.

Kauli ya 'Rais wa nchi hawezi kutoka Kaskazini' inageuka saratani soon.
 
aje tu kwani kaachana na chadema mabali na kumagufulika bado tuko imar, maana magufuri kaachana na sera za chama chake na kukumbatia sera bora za chadema, heko mbowe na uongozi wako.

Mnatapatapa sana........hivi hamuoni aibu kusema kuwa JPM anatekeleza sera za cdm ........!!!
 
Back
Top Bottom