Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,760
Mwenyekiti Umoja wa Wanawake Tanzania CCM Arusha (Vicky Mollel) ajiunga Chadema Leo Katika ukumbi wa Safari Hotel, hii inafanya CCM Arusha kubaki ofisi tu na wanaowanunuanua..
mwache akafie mbele ya safari-wala hiyo sio hbr tena-alihama lowasa sembuse huyo boya.
mwache akafie mbele ya safari-wala hiyo sio hbr tena-alihama lowasa sembuse huyo boya.
mbona umepaniki sana kumbe imekuuma kama vipi TOROKA UJE hamna namna nyinginemwache akafie mbele ya safari-wala hiyo sio hbr tena-alihama lowasa sembuse huyo boya.