Mwenyekiti wa UWT Arusha ajiunga CHADEMA leo

Mwenyekiti wa UWT Arusha ajiunga CHADEMA leo

Wanatuhadaa tuko digitally wakati kiuhalisia tupo analog, tumechoka na huu ushenzi, majengo makubwa makubwa hakuna LA maana zaidi ya sanaa, poor Tanganyika
 
Uchagani huko kaka. Wala usishangae

Naona umeanza kuvuja ukabila uko kwenye siku zako nn gamba usie kuwa na hoja jiulize kwa nn shule nyingi na miundombinu iko kilima njaro coz walijitambua mapema acha wivu wa kike jenga hoja
 
Bora ameondoka mwenyewe kabla tingatinga hajamshughulikia

Kwani Tingatinga anajishughulisha na mambo ya CCM? Huko kwenye lichama lenu kawaachieni wenyewe tena inawezekana anaudhika sana mkimchanganya kwenye hayo mambo yenu ya chama.
 
Wenyeviti wa serikali za mtaa tangia kampen za ubunge zimeanza Mh Lema kasha wavua magamba 14 nikudelet tu
 
Kamanda vipi bado tunazungusha mikono? Kumbe ni Mollel...sijashangaa
 
Nchi imetiwa kidonda ndugu cha mgawanyiko.

Kauli ya 'Rais wa nchi hawezi kutoka Kaskazini' inageuka saratani soon.

mimi natoka kanda ya ziwa, lkn kauli ya huyu mtoto wa Vasco dagama ipo siku itamtumbuaa
 
Naona umeanza kuvuja ukabila uko kwenye siku zako nn gamba usie kuwa na hoja jiulize kwa nn shule nyingi na miundombinu iko kilima njaro coz walijitambua mapema acha wivu wa kike jenga hoja
Wee ---- kweli, unataka kusema hizo shule zimejengwa kwenye utawala wa CHADEMA? Mwehu kweli wewe. Yuko kaskazini ukristo ulikuwa juu sana, ndio maana kunamwamko mkubwa wa kielimu nyau wewe. Zaidi ya hapo nguvu ya CHADEMA iko huko tu, why? . Maandamano yote ya CHADEMA hutokea huko. Vurugu kubwa za CHADEMA ni huko. Andazi kweli wewe
 
Mwenyekiti Umoja wa Wanawake Tanzania CCM Arusha (Vicky Mollel) ajiunga Chadema Leo Katika ukumbi wa Safari Hotel, hii inafanya CCM Arusha kubaki ofisi tu na wanaowanunuanua..

UWT mkoa... Vicky mollel.... Kapewa ngapi na nguyai? Hizo siasa za kuhama hama sio deal Tena kama anabisha awaulize kina Lowassa, Kingunge, Sumaye, Mwapachu, Sinare na wengineo orodha ni ndefu kuiandaa humu... Ninachokiona hapo huyu Alikuwa ni mamluki wa cdm na ameshtukiwa sasa ameamua kukimbia mapema tu.
Kukimbia CCM wakati huu ikiwa inaelekea mikononi mwa Musa ni kutojitambua
 
mimi natoka kanda ya ziwa, lkn kauli ya huyu mtoto wa Vasco dagama ipo siku itamtumbuaa
Hebu tumjadili na yule haini aliyedai atahamasisha kaskazini wajitenge na kuanzisha nchi yao!
 
pole yake.....

sisi na kazi tu!!!

mafisadi , wanafki wanakimbia taratibu kwenda chadema kusafishwa .... usije kushangaa anapewa uongozi na Chama.....

 
Back
Top Bottom