victorshio
Senior Member
- Dec 6, 2013
- 183
- 42
Wee ---- kweli, unataka kusema hizo shule zimejengwa kwenye utawala wa CHADEMA? Mwehu kweli wewe. Yuko kaskazini ukristo ulikuwa juu sana, ndio maana kunamwamko mkubwa wa kielimu nyau wewe. Zaidi ya hapo nguvu ya CHADEMA iko huko tu, why? . Maandamano yote ya CHADEMA hutokea huko. Vurugu kubwa za CHADEMA ni huko. Andazi kweli wewe
Kweli kuliko huwe vuvuzela nishida sana kwaiyo shule ni zakanisa? Barabara ni zakanisa? Umeme ni wakanisa? Pia tafakari kwa makini poyoyo wewe kujitambua kwa watu ilianzia mbali kuwa na mawazo tofauti pia kasome historia kanisa lakwanza lilijengwa wap ----- ww ndio uje kueleza huo utumbo wako hapa