Mwenyekiti Umoja wa Wanawake Tanzania CCM Arusha (Vicky Mollel) ajiunga Chadema Leo Katika ukumbi wa Safari Hotel, hii inafanya CCM Arusha kubaki ofisi tu na wanaowanunuanua..
Nailed biashara ya madawa ya kulevya nani apiwapa kibali...hasa yule mtoto wa mfalme
Habari ya kijinga kama hii unaileta jf? Who is mollel by the way,! *** you, huu ni muda wa kazi tu, unatuletea ujinga ujinga
Opesheni TOROKA UJE bado inaendelea wanatakiwa kuja wote Arusha ni ng'ombe ya CHADEMA hatutaki majizi sisi.
Huyo mtoto wa mfalme wa nchi gani?
Ifikie wakati kijiko kiitwe kijiko kama mtu muuaji unasema skutaki we muuajiamesema amechoka kukaa kwenye chama cha wauwaji...
Mkuu naona umepagawa unaropoka hivyo huyo Mwenyekiti wa UWT ana impact gani hata akiondoka CCM.Nchi imetiwa kidonda ndugu cha mgawanyiko.
Kauli ya 'Rais wa nchi hawezi kutoka Kaskazini' inageuka saratani soon.
Jina tu Mollel unategemea nini huyu alichelewa kuondoka CCM alikuwa anasubiri viti maalum kakosa ameahamua kurudi kwa ndugu zake Chadema Kaskazini.Mwenyekiti Umoja wa Wanawake Tanzania CCM Arusha (Vicky Mollel) ajiunga Chadema Leo Katika ukumbi wa Safari Hotel, hii inafanya CCM Arusha kubaki ofisi tu na wanaowanunuanua..
Mwenyekiti Umoja wa Wanawake Tanzania CCM Arusha (Vicky Mollel) ajiunga Chadema Leo Katika ukumbi wa Safari Hotel, hii inafanya CCM Arusha kubaki ofisi tu na wanaowanunuanua..