Mwenyekiti wa CHADEMA Arumeru Magharibi ahamia ACT

Mwenyekiti wa CHADEMA Arumeru Magharibi ahamia ACT

Gazeti la tanzania daima na mwanachi yameandika kwenye kurasa za ndani.
 
Gazeti uhuru........mtu mwenyewe kashindwa uchaguzi ..........eti rushwa ya soda na magamba mnashangilia .......soda .......soda.......
 
Waache act ccm wahangauke tu wanafikiri watanzania tunadanganyika tena. Tuliokombilewa na msukule ccm tumepona waaache wale wasiotaka kufikiri huku wakiwa wTumwa wa chama chakavu ccm waendelee kuw watumwa huku ukombozi ukiwajia taratibu
 
Chadema inasikitisha, nguzo yao iliyobaki ni UKAWA tu, na siku wakimkorofisha Lipumba basi wamekwisha!

Huyo Sheshe alitumwa na Lowassa aje agombee uenyekiti wa chadema, alipopigwa chini baada ya kupata namba ya kiatu karudi nyumbani CCM kupitia wakala wao ACT

Wanaosikitisha ni ccm kwani hila zao zote zimegonga mwamba
 
Ha ha ha ha hadi kufikia uchaguzi kwa CHADEMA tutaona mengi sana.
 
Yani katika wagombea wote hakuna muislam hata mmoja? chadema wabaguzi sana

mpumbav...........u yaani unataka mtu akamchulie mwislam form acheni ujinga nyie watanzania na hizi ndizo siasa alizokuwa na kama watu watafanya hivyo wapi democrsia
 
Uchaguzi Arumeru magharibi umekamilika juzi huyo mwenyekiti aliyehama ni yupi democrasia imechukua mkondo wake arumeru mnataka democrasia gain?
 
Habari za leo naomba nijibu hoja za uongo uliozushwa eti mwenyekiti chadema kuhamia ACT si kweli ni uwongo mwenyekiti wetu wa wilaya Arumeru magharibi mh Gibson ndiye mwenyekiti mteule huyo kapi msaka tonge anaitwa sheshe mamluki ccm b waliopandikiza baada ya kugombania uwenyekiti akapata kura 8 mh Gibson akapata kura 113 akaenda ACT shauri ya kukosa cheo hatuwaitaji watu wa hovyo CHADEMA huyo ni mrohoo wa madaraka msaka tonge

Huyo hana mpya CHADEMA ni kazi kazi mamluki stop chadema hii ndiyo tumaini la watanzania hatuna nafasi ya wasaka tonge humu nampa pole huyu limbukeni wa siasa kuwa chadema ni kazi kazi tu huku mamluki stop alikuwa pandikizi alileta makundi ndani ya chama wananchi wakamchinjia baharini msaliti huyo hivi mwana chadema wa ukweli ukose cheo uhamie chama kingine kinaingia akili wadau jamani huyo mi snich r.i.p sheshe kisiasa umepotea kwenye medali ya kisiasa kalime huna mpya chadema ndiyo tumaini la watanzani act ni kikundi cha wasaliti aluta contunua

Mbunge wa philps umeua; kumbe Sheshe hahahaaaa sasa alitaka amshinde Jembe Gibson anaweza sasa aende kwenye Maficho ya wasaliti kichaka cha wasaliti ACT
 
Acha upumbavu wewe, huijui chadema, na Arusha huijui wewe..... CHADEMA ipo imara na itaendelea kupambana na mamluki wote na kuwafuta kabisa ndani ya chadema. Mpango wa Sheshe ulijulikana hata kabla ya kuchaguliwa. Tutaendelea kuwafuta ma ccm ndani ya chama chetu.... Sheshe hana uwezo wa kuongoza familia yake, eti anataka kuwa mwenyekiti wa jimbo loh!!
Sheshe amekuwa habari? Kweli Chadema inawakosesha CCM usingizi hata mwenyekiti wa msingi wa Chadema akihama Chadema anapewa kipaumbele kwenye vyombo vya habari! Sasa Sheshe kashindwa uchaguzi bado wanamwita Mwenyekiti wa Chadema hahahhaaa #Na Bado.
 
Kweli mwanzo wakuanguka ni kuteleza, na mwisho Wa msaliti ni kifo, wametusaliti kina zitto, mkumbo na mjinga wao mwigamba chama kikazidi kuimarika kila idara. Ccm tafuteni ushawishi wa wananchi sio kununua makapi ya CDM.
 
Back
Top Bottom