Du nawew pia umeaminishwa hivo , unakubaliTumia vema ubongo uliojaliwa na mwenyezi mungu,nguvu ya chadema iko katika sera ya elimu bure,matibabu bure,kupunguza gharama ya bati na sementi ili wananchi wa kiwango cha chini wajijengee nyumba bora.nguvu ya chadema iko katila kuhakikisha inakusanya kodi zinazotumika kuanzisha miradi ya maendeleo,ukawa ni sehemu tu ya nguvu zake kwa kuwa kama m/ kiti inalojukumu kuonesha njia,nguvu ya chadema ni sera za kilimo,elimu,afya,maji na umeme zilizofeli