palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,463
hivi kwani wote wanaokwenda ACT sababu yao kubwa ni uongozi? kwa tuseme wanachama wote wa CTA watakuwa viongozi na watamuongaza nani?
Huyu eti mwenyekiti wa wapi labda mwenyekiti wa kitongoji huyu amefilisika kisiasa
Umekufa wewe chadema haiwezi kufa arusha hamna mpya nyie arusha madeki bahari mpaka ikauke sio leo wacheni umbea fanyeni kazi wacheni kukalia umbea siokuwa na tija huku mamluki stop habari ndiyo hyo
nilitaka kuchangia nimegundua mleta uzi ni mhuni, katunga ujinga ajipatie B7 hapo lumumba kwani hii nayo ni kati ya zile ajira 1milsource star TV.
Kisa adai hakuna demokrasia na uongozi
wewe una cheo gani chadema? Chadema arusha imekufa
Habari za leo naomba nijibu hoja za uongo uliozushwa eti mwenyekiti chadema kuhamia act si kweli ni uwongo mwenyekiti wetu wa wilaya arumeru magharibi mh gibson ndiye mwenyekiti mteule huyo kapi msaka tonge anaitwa sheshe mamluki ccm b waliopandikiza baada ya kugombania uwenyekiti akapata kura 8 mh gibson akapata kura 113 akaenda act shauri ya kukosa cheo hatuwaitaji watu wa hovyo chadema huyo ni mrohoo wa madaraka msaka tonge huyo hana mpya chadema ni kazi kazi mamluki stop chadema hii ndiyo tumaini la watanzania hatuna nafasi ya wasaka tonge humu nampa pole huyu limbukeni wa siasa kuwa chadema ni kazi kazi tu huku mamluki stop alikuwa pandikizi alileta makundi ndani ya chama wananchi wakamchinjia baharini msaliti huyo hivi mwana chadema wa ukweli ukose cheo uhamie chama kingine kinaingia akili wadau jamani huyo mi snich r.i.p sheshe kisiasa umepotea kwenye medali ya kisiasa kalime huna mpya chadema ndiyo tumaini la watanzani act ni kikundi cha wasaliti aluta contunua
Jimbo la arumeru magharibi.
Walioomba nafasi za uongozi wa
chama ngazi ya jimbo.
Mwenyekiti.
1. Ernest elisha sheshe- 38
2. Gibson blasius meiseyeki-106
Katibu
1. Christopher rashid njiku- alijitoa
2. Albert elias olttereu-65
3. Charles adiel abraham- 78
katibu mwenezi.
1. Boniphace barnabas kimario-67
2. Solomon onesmo mmari-75
mweka hazina.
1. Masanja mihalalo kapalatu-28
2. Olais wavii ole loibanguti-118
mjumbe mwakilishi wa wilaya
mkutano mkuu taifa
1. Charles beda masumbuko-33
2. Stephano valentino hotay-23
3. Simon lawrence ole rayan-
4. Bahati daudi mollel-83
nafasi zisizozidi 4 za ujumbe wa
kamati ya utensaji
1. Lucas sirikwa mollel-52
2. Lebahati ngotee mollel-45
3. Elirehema soori mollelel-29
4. Eliakimu lekeri mollel-20
5. Longidare loishiye mollel-13
6. Ngomanzito wami nyanga-102
7. William paulo mollel-34
8. Noah william lewanga-18
9. Meshack loisujaki siwandeti-62
10. Agustino christopher
kimweri-83
11. Ismail loibanguti ngotee-88
Chadema inasikitisha, nguzo yao iliyobaki ni UKAWA tu, na siku wakimkorofisha Lipumba basi wamekwisha!