Mwenyekiti wa CHADEMA Arumeru Magharibi ahamia ACT

Mwenyekiti wa CHADEMA Arumeru Magharibi ahamia ACT

Mtoa taarifa acha umbulula mw/kiti wa Arimeru anaitwa Gepson meseyaki sasa uyo alikuwa sio MW/kiti tena bu7 banah
 
Tunapoteza muda kulumbana weeeee badala ya kuelimishana tutatokaje katika huu umaskini uliokithiri! Maliasili kibao lakini elimu na ujuzi wetu tunashindwa kutumia utajiri wetu Mungu aliotupa? Kelele zote hizi ni njaa tu kila mmoja anataka ashinde uchaguzi akale kuku kwa mrija bila kutoa jasho!
 
Moderator hakuna mwenyekiti aliye hama chama bali ni aliyekuwa kaimu mwenyekiti maana alikaimu kwa muda wa miezi miwili kabla ya uchaguzi kufanyika na yeye (sheshe) kuambulia kura 38 huku mwenzake (Gibson) akipata kura 102...
 
Last edited by a moderator:
Kisa adai hakuna demokrasia na uongozi


================
nchi hii imejaa watu wajinga wengi ndio maana ccm inaendelea kutawala kwasababu ya watu mabwege kama hawa, hivi ukishindwa uenyekiti bado unaendelea kuwa na nafasi uliyoshindwa? na MOD kwanini huu upotoshaji kuhusu chadema hauondoi hata inapothibitika kwamba ni uongo? kwanini kichwa cha habari kinaendelea kusema mwenyekiti wa chadema wakati mtu huyu unathibitishiwa kwamba alishindwa uchaguzi? na wengi watakimbia kwasababu ya kushindwa nendeni huko kwa wasaliti wenzenu maana inaonekana wewe unataka kuongoza tu ukishindwa hutaki kuongozwa unakimbia na hicho chama chenu kilichojaa watu wenye wasaliti na watu walio na hasiara mbalimbali na chadema hakiwezi kujengeka kwasababu mnakijenga kwa kujaribu kukomoa badala ya kujenga misingi yenu na sera zenu, shame on you
 
Hakuna haja ya kulalamika sana chama chenyewe kinakufa kwa sababu ya ubaguzi
 
Bado mimi naona ni siasa tu io kwani ni lazima utakuja kua mchezo mchafu na pia ni unafiki
 
Utawadanganya wajinga..yaani tarehe 25 uongozi wako unakoma, then tarehe 26 unaamia ACT-Tanzania. Ina maana ulisubiri ushindwe ndio upate kick ya kujiungia ACT-Tanzania? Msalime Mushumbusi!
 
Back
Top Bottom