Mwenyekiti wa CHADEMA Arumeru Magharibi ahamia ACT

Mwenyekiti wa CHADEMA Arumeru Magharibi ahamia ACT

Kuna muislam aliyejitokeza kuchukua fomu akazuiwa kugombea?wewe mwenyewe unayeuliza hili wewe ni CCM nashangaa maulid sio yako umeivaliia kanzu ?
 
Kaka huyu sheshe alikua radio5 asubuhi yeye na katibu wa act arusha hawana jipya lolote zaidi ya lawama zilezile.
 
source star TV.

Kisa adai hakuna demokrasia na uongozi
Kwa kuwa watu wengi waliathiriwa na tabia ya kigamba kusaka tonge,wakikosa ndani ya chadema watajinasibisha kwa hoja nyingi tu.Uchaguzi huu utaibua wengi ambao kwa kutunika watasema wanaonewa,tutaanza na akina Mbarouk wanaodai nafasi bila kutizama mshindonyuma.
 
Yani katika wagombea wote hakuna muislam hata mmoja? chadema wabaguzi sana
Una siasamfilisi,kugombea ndani ya chadema kila mwenyemapenzi na chama anakaribishwa, si mkristo au muislam.Hata wewe ukitaka kagombee harafu demokrasia kupitia sanduku la kura itazungumza
 
So.ebodu Sheshe. Star tv wamesema alikuwa mwenyekiti Jimbo la Arumeru Magharib kahamia ACT Kwa kuchoshwa na udictator na ahadi hewa za vikngozi wa juu
 
dah CCM mna kazi sana!

yaani kazi iliyobaki sasa ni mara kiongozi huyu wa chadema kahamia CCM au ACT, mara chadema vipande vipande......

Very boring. Siasa uchwara zisizo na tija hata kidogo

Na huyu mnayemsemea wala hakuwa mwenyekiti wa chadema, zaidi movie mmetengenez tena ya kuunga unga

shame on you
 
Huyo Gamba atakua kavuta hela ndefu sana kwa kuwadanganya eti ni Mwenyekiti!!
 
Chadema inasikitisha, nguzo yao iliyobaki ni UKAWA tu, na siku wakimkorofisha Lipumba basi wamekwisha!
Tumia vema ubongo uliojaliwa na mwenyezi mungu,nguvu ya chadema iko katika sera ya elimu bure,matibabu bure,kupunguza gharama ya bati na sementi ili wananchi wa kiwango cha chini wajijengee nyumba bora.nguvu ya chadema iko katila kuhakikisha inakusanya kodi zinazotumika kuanzisha miradi ya maendeleo,ukawa ni sehemu tu ya nguvu zake kwa kuwa kama m/ kiti inalojukumu kuonesha njia,nguvu ya chadema ni sera za kilimo,elimu,afya,maji na umeme zilizofeli
 
So.ebodu Sheshe. Star tv wamesema alikuwa mwenyekiti Jimbo la Arumeru Magharib kahamia ACT Kwa kuchoshwa na udictator na ahadi hewa za vikngozi wa juu
Baada ya kushindwa uchaguzi?
 
uzi umevamiwa na watu wanaoshupaa, ngoja nikae kando.
 
Uzuri zile pesa za ESCROW zitakwisha kabla ya uchaguzi 2015, hivyo watakosa za kuhonga wapiga kura.
 
Kupitia star tv taarifa saa mbili wamemuonyesha jamaa mmoja anaitwa Erenest sheshe kwamba alikuwa m/kiti wa CDM arumeru magharibu na amejuzuru nafasi za uongozi na kujiunga na act.

Cha kushangaza kuna kadi alikuwa ameweka mfukoni kama 7 hivi alipofika mezani akazitoa. ukiziangalia zile kadi ni mpya kabisa. alikuwa anawaonyesha waandishii wa habari na hakusema chochote kuhusu zile kadi na alikuwa mwenyewe na waandishi wa habari. sasa najiuliza yeye mwenyewe ndio amehama lakini ana kadi mpya za kuonyesha waandishi wa habari.

Kitu ambacho hakiingii akilini amesema walikuwa na malalamiko kwa viongozi lakini hajasema tatizo hata moja.

Jaman nilikuwa nasikia kuna wanaume jina leo nimeanza kuamini,yaani mwanaume unampa mwanaume mwenzio akili zako akutunzie. hawa wamekuwa kama nzi hawana utashi.
Mimi nawashauri act waache propaganda. Ukiacha ofisi huondoki na nyaraka ulizokabidhiwa sasa huyu anaondoka na nyaraka za ofisi

ACT mtuambie mna wanachama kutoka ccm wangapi? hizo bilion mlizopewa bora mngewape hata walemavu

Do !!!!!! maneno yote hayo shudu kibao sijui kwanin mnapinga kila kitu kila mtu ana uhuru wa kuhama / kuhamia chama anachotaka , akihama chadomo oh!!!! Amenunuliwa akihamia chadomo oh !! Amejitambua ovyooo!!!!
 
ACT ni chama cha kishamba sana !

Mshamba ni wew, mwenye macho huoni , maskio hausikiii , umekuwa kama mshumaa unaojiunguza wenyewe kuwamulikia watu wengine , watu wanajenga gorofa , na wengine wananunua majumba wew unabaki unapiga miayo na pipoooss pua
 
Back
Top Bottom