PostGE2025 Mwenyekiti msaatafu wa CHADEMA, Freeman Mbowe Yuko wapi?

PostGE2025 Mwenyekiti msaatafu wa CHADEMA, Freeman Mbowe Yuko wapi?

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Nasikia anajiandaa kutoa ushahidi wa siri dhidi ya Lisu.
 
Dalali yule hana msaada wowote ,,,sasa hivi hana watu wa kufanya nae biashara
Mkuu Polisi wamepiga marufuku maandamano D9, bado tutatoka?
 
Amepumzika/amechoka mpaka kukemea maovu kwenye jamii yake??
Inasikitisha Sana mkuu, yaani yanafanyika maovu kwenye nchi Yako, halafu eti ukae kimya kwamba umestaafu
 
Dalali yule hana msaada wowote ,,,sasa hivi hana watu wa kufanya nae biashara
[/QUO
Unajua Mbowe kuukosa Uongozi kaumia Sana yeye na Washirika wake ndiyo Maana Chadema walivyosema hawatashiriki Uchaguzi Mkuu madalali wengi walichanganyikiwa ikabidi sasa CCM iwatafutie Chama mbadala ili waende kugombea, Sasa madhumuni yao Viongozi wakishaenda Chauma Chama cha Chadema kitakufa kama kilivyokufa Cuf. Sasa kwa bahati mbaya mission yao ilifeli kwasababu hawakupata sapoti ya Wananchi, Viongozi matapeli kama Kigaila, Msigwa, Salumu Mwalimu na wengineo walijua wakiondoka Chadema na wananchi watawafata kama alivyofanya Maalim Seif.
 
Huyo hana umuhimu wowote kwa sasa
Hata akikata moto poa tu!
Mkuu huyu anatakiwa kuzibitiwa anaweza akawa kajipanga kujaribu kuchukua tena Chama, Unajua Ukishakua Kiongozi na unapewa huduma za VIP na zikakata wanaumia sana kuzikosa zile huduma.
 
Mstaafu alituuza sana huyu jamaa
Yule alikua anachukua sana Mapesa inaoneka alikua anapewa tangu awamu ya Msoga sasa Baada ya Msoga kuondoka naona pesa zikakata zikabakia za ruzuku tu! Ndiyo maana Samuya alivyoingia tu wakatuchezea michezo ya kitapeli ya kufungua kesi ya mchongo ya Ugadi ili baadae atolewe na apewe Asali Arambe na kweli baada ya kupewa Asali akawa kimyaaa
 
Mwenyekiti msaatafu wa Chama kikuu Cha Upinzani Freeman Mbowe yuko wapi?
Anakaa vipi kimya kwenye hali mbaya ya kisasa kama hii kuwahi kutokea nchini?

Carlos The Jackal
Mungu mkubwa sana. Yaani dalali amekuwa exposed ndani nje. Jamaa lilikuwa linafanya biashara wa kisiasa. Tukishachukua nchi tutalifungulia mashtaka
 
Mzee wa anga ni moja ya watu waliotufikisha hapa tulipo leo, alikubali maridhiano hewa, matokeo yake akauza chama, lakin wanachadema wakaamua kukirudisha chama mikonon mwao, wakaamua kumpumzisha siasa lakini alivyo na kinyongo akanuna hadi leo hatak kuzungumza chochote
 
Back
Top Bottom