upo sahihi ndio hivyo hivyo mail address nami wamenitumiamimi sijatumiwa,ila kuna rafiki yangu katumiwa,kaambiwa yeye amefanikiwa kuingia kwenye timu yao ya mafunzo,ila kuna mabadiliko ya tarehe ya kuanza hayo mafunzo,yalitakiwa kuanza tarehe moja mwezi wa nne,ila wamepokea order toka kwa uongozi wa MCB kua waongeze watu wengine kumi ili watimie 30,hivyo mchakato wamepanga mafunzo yaanze mwezi wa tano ili huu mwezi mwengine wautumie kuwatafuta watu wengine kumi,pia ameambiwa aandae kitambulisho cha kazi/mpiga kura,original certificates na barua toka kwa mtendaji wa kijiji!kuhusu lini wataanza mafunzo wamemuambia watampa taarifa! ndo hvyo mdau!
hata mm wamenitumia hiyo msg. Na mwishoni wamemalizia kama utaona uwezi subiri hadi May unaweza kuwatumia msg kwa kureply email yao waliokutumia. Ni wakwel. maana me nilireport ile Corruption Action
Kiukweli wajanja hawa jamaa wanatechnique ya kuajiri Good product kwan maelezo yote walitoa kwamba help us t o prevent corruption na email wakaweka,mie nimepata morn sms yao fasta nikareport kama walivyo taka pia kumbuka ni moja ya interview hiyo ya kuombwa rushwa if u hav reporting umeula wangu
Me wamenitumia fresh kabisa new msg hawakureply ile ya corruption. mmh au ndio ilikuwa mtego wao huo? let us waitin cku hazigandi na huku tukiwa tunatafuta sehemu zngne pia. cz kwa kufikiria tu haiwezekani watutumie watu wote ambayo tulikuwa shortlisted msg ya kuomba rushwa i thnk walikuwa wanapima ile attribute ya kuwa Attention to the details. cz walitoa mail ya prevent corruption reportngLikewise....nilireport na wamenijib (wamereply) kupitia ile ile report yangu ya corruption kuwa nmechaguliwa....ila sijawa na uhakika kama ni wakweli.
ha ha ha, ni kujifariji tu na kujipa moyo mzee, ajira nw ni ishu xana. Acha watu wajifariji kwa gud assumptions na kuwa na positive mindsNawewe sikuaminiamini maana duuh kama member wao vile, unawapigia debe sana. Au ndo kutuzubaisha!??
Me wamenitumia fresh kabisa new msg hawakureply ile ya corruption. mmh au ndio ilikuwa mtego wao huo? let us waitin cku hazigandi na huku tukiwa tunatafuta sehemu zngne pia. cz kwa kufikiria tu haiwezekani watutumie watu wote ambayo tulikuwa shortlisted msg ya kuomba rushwa i thnk walikuwa wanapima ile attribute ya kuwa Attention to the details. cz walitoa mail ya prevent corruption reportng
mimi sijatumiwa,ila kuna rafiki yangu katumiwa,kaambiwa yeye amefanikiwa kuingia kwenye timu yao ya mafunzo,ila kuna mabadiliko ya tarehe ya kuanza hayo mafunzo,yalitakiwa kuanza tarehe moja mwezi wa nne,ila wamepokea order toka kwa uongozi wa MCB kua waongeze watu wengine kumi ili watimie 30,hivyo mchakato wamepanga mafunzo yaanze mwezi wa tano ili huu mwezi mwengine wautumie kuwatafuta watu wengine kumi,pia ameambiwa aandae kitambulisho cha kazi/mpiga kura,original certificates na barua toka kwa mtendaji wa kijiji!kuhusu lini wataanza mafunzo wamemuambia watampa taarifa! ndo hvyo mdau!
hata mm wamenitumia hiyo msg. Na mwishoni wamemalizia kama utaona uwezi subiri hadi May unaweza kuwatumia msg kwa kureply email yao waliokutumia. Ni wakwel. maana me nilireport ile Corruption Action
Wamekutumia kuwa umechaguliwa au?
Kwa upande wangu, is not the same day nilivyoreport. me walinitumia msg ya kuchaguliwa jana jioniMliotumiwa kuwa mmechaguliws hizo emails mlitumiwa hiyo trh20 au the same day mlivyo report hiyi corruption. ?
Thanks, Mwanza-Bank of Tanzania Institute Hall-Capripoint-MwanzaHongereni sana. So mtakuwa mnafanyia training mwanza au dar