Mwenye Update za Mwanza Community Bank

Mwenye Update za Mwanza Community Bank

yeah da same date na mm.
nimetoka MCB sasahivi yani kuuliza hawa jamaa ni waongo ni wezi wa mtandao tu, mcb bank nafasi za kazi hazijatangazwa na haiwezekani mcb bank watangaze nafasi kwenye mtandao tu pasibo vyombo vingine vya habari, mi pia ni moja wa waliotumiwa email ya kuchaguliwa jaman take care kwa maelezo zaidi nipigie 0718 524545
 
hizi habari kwenye vyombo vya habari zinapatikana naona kikla kitu kwenye email. nisaidieni hata kimawazo nimechoka sana
 
mi nilikasirika mpk nikafuta email zoa plz mwenye ile email ya corruption naomba anitumie nijaribu kuandika Naweza nikawa kati ya hao kumi plz msaada
 
Yaan waba tu brain wash hawa. Maana mi nilienda jana ofisi za MCB. Nilichojibiwa kuwa hawa watu ni matapeli jaman. Km kwel matapeli mbona wamejianika hivyo. Inamaana hawa MCb halisi hawawezi chukulia hawa watu hatua? Utata
 
Yaan waba tu brain wash hawa. Maana mi nilienda jana ofisi za MCB. Nilichojibiwa kuwa hawa watu ni matapeli jaman. Km kwel matapeli mbona wamejianika hivyo. Inamaana hawa MCb halisi hawawezi chukulia hawa watu hatua? Utata
yaani hapo ndio napata utata kama MCB wanavyofwata hpo ofisini kwa maulizo za hz kazi nilitegemea wangeshtuka na kutoa tamko kwny vyombo vya habari. Maana kama kwel hawa jamaa ni matapeli na tena wanatumia jina la MCB, obviously public image ya MCB hta ikianza itakuwa imechafuliwa na kutiwa dosari. HAPA NI UTATA.
 
nyie watu mnachekesha sana,hizo ofisi za mcb mnazodai mmeenda kuuliza ziko wapi wakati hii ni branch mpya hata haijaanza kufanya kazi?na ni bank ya mwanza haipo sehem nyingine?acheni kuvunka watu moyo na kujichanganya.
 
Lakin bado hawaelek watuweke waz jaman
kaka acha kutia watu moyo mimi npo mwaza na mpaka ilipo benk nishafika nilie mkuta kanithibitishia mcb hawajawahi kutangaza kazi ile ni gvnt hata kama ni kazi tungeziona kwenye magazeti kaka ni utapeli mtupu , fungua macho kaka
 
kaka acha kutia watu moyo mimi npo mwaza na mpaka ilipo benk nishafika nilie mkuta kanithibitishia mcb hawajawahi kutangaza kazi ile ni gvnt hata kama ni kazi tungeziona kwenye magazeti kaka ni utapeli mtupu , fungua macho kaka

Hehehheeh we upo mwanza gani kaka hyo benki haipo haijaanza kazi acha kuposha umma
 
Hehehheeh we upo mwanza gani kaka hyo benki haipo haijaanza kazi acha kuposha umma

Wewe chief nawe km hujui sema uelekezwe maana mimi mwenyewe nipo mwanza na jana nikienda hizo ofisi tarajiwa za MCB na nilijibiwa kuwa hao watu ni matapeli. Cha kujiuliza hiv km hao watu ni matapeli je hao wenye MCB wapo wapi kuchukua hatua. Ni utata mtupu
 
wadau ya nn kujibizana? tuwe wapole tusubiri mbichi na mbivu. huku tukiendelea ku aply kwngne kama ilivyo ada ma job seekerz. kama mtu hujatoa pesa yoyote mean hujatapeliwa ya nn kuwa na wasiwas? binafs nimetulia nasubiri ila hawa watu quality service nina iman nao ndogo xana.
 
Back
Top Bottom