Prince Akeem
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 886
- 382
kwa hiyo wata shortlist lini
Kuhusu wanashortlist lini sifaham kwan mie nimepata uhakika wametangaza wao hizo nafasi c utapeli bali wanavyo endesha interview zao ndo zinatufanya tuchanganyikiwe na kuwaona matapeli hapa nikuvuta subira2 kwan walidai tarh 20 au before 1 mwez wa nne,ata nyie tuma m2 akaulize yeye kama yeye utapata jibu nafas walitangaza ni kweli
Wapendwa au mpaka itimie tarehe 20 mwezi huu ndo tujue majina yetu kama wametuchagua au kuna yeyote kapata news mpya?
Jamaa wamesha anza kutuma email,leo kuna mwenzangu ametumiwa email na hao jamaa!
Jamaa wamesha anza kutuma email,leo kuna mwenzangu ametumiwa email na hao jamaa!
Ya kuhusu nini? Kuitwa kazin au?
kanifowardia email sema nimeshindwa kuisoma simu yangu haina uwezo wa kusoma document!ni attachement document!
Kama vipi mwambie akwambie inasemaje kama yeye kaisoma afu utupatie nasisi taarifa kiongozi.
mimi sijatumiwa,ila kuna rafiki yangu katumiwa,kaambiwa yeye amefanikiwa kuingia kwenye timu yao ya mafunzo,ila kuna mabadiliko ya tarehe ya kuanza hayo mafunzo,yalitakiwa kuanza tarehe moja mwezi wa nne,ila wamepokea order toka kwa uongozi wa MCB kua waongeze watu wengine kumi ili watimie 30,hivyo mchakato wamepanga mafunzo yaanze mwezi wa tano ili huu mwezi mwengine wautumie kuwatafuta watu wengine kumi,pia ameambiwa aandae kitambulisho cha kazi/mpiga kura,original certificates na barua toka kwa mtendaji wa kijiji!kuhusu lini wataanza mafunzo wamemuambia watampa taarifa! ndo hvyo mdau!