senetor sabo
Member
- Mar 6, 2014
- 21
- 0
sms ilinitaka nitoe laki tatu then nikiwa katika training sasa me sikuelewa nini kinaendelea ndo maana nakwambia tusubir tar 20 had kufika 1 mwez wa nne itafaahamika vizurCjapigiwa wangu ila nilisha fanya test yao ya kwenye net,ila jf wengi wanadai wamepigiwa cm wakiombwa pesa asa ndo mana nashindwa elewa mara wengine wanadai jamaa ni matapeli du ndo nachoka kabisa wangu