tycoonff
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 928
- 1,310
Jmn mbona mm nilireport hiyo kitu na walivyonijibu ni kunitumia email na details za pius mwesigwe tu. Nikashindwa nifanyaje.
Mi binafsi cjakuelewa unamaanisha nini.
Jmn mbona mm nilireport hiyo kitu na walivyonijibu ni kunitumia email na details za pius mwesigwe tu. Nikashindwa nifanyaje.
Nilireport hiyo email ya prevent corruption. Baada ya kutumiwa msg ya kuombwa pesa. Wakanijibu kuwa watafuatilia ni nani anafanya hayo mambo ya kuomba watu pesa. Then baada tena ya siku 3. Nikapata tena mail kutoka kwa pius mwenyewe haikueleza kitu ila ni details zake tu. Email phone ni na position yake. Jmn nikashidwa walimaanisha nin au nijibuje?
lini tena wamechaguliwa na je hizo habari zinaukweli gani mbona hatuelewi
in my view ipo hivi, uwenda walitumia vigezo vyote ikiwemo results ya aptitude test plus kureport corruption, cz ndiyo naweza kureport corruption bt ukichek kwny tokeo la aptitude test cjafikisha mark yao or ndio nimepass aptitude test bt i was nt attention to the detail ya kureport corruption obvious nitakuwa cjaqualify. inorder to qualify i have to do both pass aptitude test and report corruption. This z my view.
shamukwetu andika email yko hpo nikuforwadie. email imejielezea kila kitu na nn cha kufanya.
shamukwetu andika email yko hpo nikuforwadie. email imejielezea kila kitu na nn cha kufanya.
hata ningekuwa mm MCB ukaja kuniuliza hlo swali la kuwa tumetoa nafasi za kazi Ningekwambia hatujatoa as longmbona twalazimisha kutapeliwa?maana kuna mwanajamii kafika hadi office za mcb wakamwambia hawajatangaza ajira wewe umekazana mwanza mwanza wale ni matapel shukur mungu hukuingia mkengee na achana na story zao.
Tuwape muda tena, Unajua imani ilitoweka kwao walipotutumia shortlisted wote ile msg ya kuomba rushwa ila tulisahau kuwa kwnye maelezo yao kwny ile email ya kwnz paragraph ya mwisho iliandikwaWajinga ndio waliwao, na msije kuanzisha tena uzi wa malalamiko mnatujazia server
hongera umetumiwa lini mail?jamani na mm nimetumiwa imeil nimechaguliwa