Mwenye Update za Mwanza Community Bank

Mwenye Update za Mwanza Community Bank

me nimetumiwa sms inayonitaka nitoe laki tatu then nipitishwe kwenye hiyo test sasa me nimepiga kimya nasubir tar 20 nioke ukwel wenyewe tutajua tu ukwel ni upi na kama ni matapel mbona mcb wapo na wanaona au vip
 
cha msingi ni kuwapigia mcb wenyewe na uwe ume save hiyo message iwapo Pius ni agent wa kuajiri

BASI KAMA HAO MWANZA COMMUNITY BANK WANAUONA HUU UPUUZI KISHA WANAENDELEA KULA KIMYA BASI NA WENYEWE WATAKUA WANAHUSIKA KWA NAMNA MOJA AMA NYINGINE!THEY ARE CORRUPT IN NATURE,they allow someone to use their logo to lie majority of tanzanian!this is too much!
 
Tuwe na subira kidogo,,ila mimi mwenyewee nimetumiwa msg asubuhi na MWESIGA PIUS akinitaka nimtumie hela na nimeangalia no. Kwenye Mpesa ni ya Mwesiga,,,sasa sielewi kama ni Hacking au huyu jamaa ni mfanyakazi wao,,,ila tuwe makini jamani watu wamekuwa maptapeli
 
mimi hili Tangazo nilitumiwa kwenye kwenye message. nyie mlilipata wapi?
 
Mwenye hii namba anasambaza msg ya kuomba tsh laki 3 apitishe aptitude test na ukiwa kwenye training umpe tena laki moja 0764171699 amesajili kwa jina la mwesiga pius
 
Mwenye hii namba anasambaza msg ya kuomba tsh laki 3 apitishe aptitude test na ukiwa kwenye training umpe tena laki moja 0764171699 amesajili kwa jina la mwesiga pius

hakuna kazi hapo ni utapeli ndio unaoendelea.
 
Mwenye hii namba
anasambaza msg ya kuomba tsh laki 3 apitishe aptitude test na ukiwa
kwenye training umpe tena laki moja 0764171699 amesajili kwa jina la
mwesiga pius[/QUOTE

ni moja ya kupunguza watu na kupata waliowaaminifu na ndo maana walitoa email ya kureport rushwa....wanafanya hivyo makusudi na walioripot ndo watakaochaguliwa coz bank haihitaji mtu mla rushwa
 
Tuwe na subira kidogo,,ila mimi mwenyewee nimetumiwa msg asubuhi na MWESIGA PIUS akinitaka nimtumie hela na nimeangalia no. Kwenye Mpesa ni ya Mwesiga,,,sasa sielewi kama ni Hacking au huyu jamaa ni mfanyakazi wao,,,ila tuwe makini jamani watu wamekuwa maptapeli



Huyu jamaa hata mimi kanitumia msg this morning akitaka nimtumie pesa sasa mimi nimemwambia nataka kuongea nae amedai kua atanicheki jioni ili nizungumze nae,am waitning for his col, lakini pia cha msingi ni kupata namba za mawasiliano za Company ndio tuulize hizo details kama ni za kweli kuhusu izo kazi
 
Jaman mwenzenu niko gizani sielewi elewi watu wanadai wamepigiwa simu wakiombwa pesa sijui ni kweli au watu wanazusha au mtu anakufahamu then anakujaribu mie sielewi nisaidieni jamani.
 
lakin maelezo yalisema tar 20 vuta subira kidogo,ni kwel kama unavyoona post kwenye jukwaa hili ndivyo ilivyo.
 
Cjapigiwa wangu ila nilisha fanya test yao ya kwenye net,ila jf wengi wanadai wamepigiwa cm wakiombwa pesa asa ndo mana nashindwa elewa mara wengine wanadai jamaa ni matapeli du ndo nachoka kabisa wangu
 
Back
Top Bottom