Wakuu kama unajua mshahara wa graduate fresh wa bank yoyote hebu tupia hapa
Hii ni kwa nafasi za kawaida kama bank officers nk
Thank you in advance
Hivi mishahara inalipwa kwa aina ya makaratasi ulioandikiwa baada ya kufanya mtihani wa kukariri au kwa aina ya kazi utakayopewa?
HIvi mnajifunza nini shuleni nyie kizazi cha nyoka? Well then, acha nikuoneshe ujinga wa kuamini unachoamini badala ya kutumia elimu kufikiri.
Bank ya Mkombozi (na benki nyingine nyingi tu) ili uwe Teller, inalazimu uwe na Degree moja. Mshahara ni 540,000 - 800,000
FHI inamlipa dereva Tshs 800,000 - 1m kutegemeana na kiwango cha elimu na uzoefu.
Graduatism inawafanya mnakuwa maskini mabwege nyinyi
Hivi mishahara inalipwa kwa aina ya makaratasi ulioandikiwa baada ya kufanya mtihani wa kukariri au kwa aina ya kazi utakayopewa?
HIvi mnajifunza nini shuleni nyie kizazi cha nyoka? Well then, acha nikuoneshe ujinga wa kuamini unachoamini badala ya kutumia elimu kufikiri.
Bank ya Mkombozi (na benki nyingine nyingi tu) ili uwe Teller, inalazimu uwe na Degree moja. Mshahara ni 540,000 - 800,000
FHI inamlipa dereva Tshs 800,000 - 1m kutegemeana na kiwango cha elimu na uzoefu.
Graduatism inawafanya mnakuwa maskini mabwege nyinyi
Sasa jama wewe ni dereva unataka kila mtu awe dereva??
Baada ya kutumia ubongo wako wooote hilo ndio uliloambua kwenye yoote niliyoandika. Shida ni kufikiri kwa kutumia viungo mbadala. Mimi ni mfanyabiashara na husafiri kwa mabasi sina na sijawahi kuwa dereva. Nilikuwa namwambia huyo juha mwenzio kuwa; mtu hulipwa kwa kazi anayofanya na mfumo wa mlipaji, sasa sijui hilo la dereva limetokea wapi.
Kwa kuwa inaonesha ujinga ni sehemu ya mwili wako acha nikupe mfano mwingine hai: Office Assistant pale TANAPA analipwa 713,000 kwa mwezi, mshahara ambao Bank Teller wa WDB hapati. Sasa uliza tena kama mimi ni OA. Mkichwa mkubwa akil huna
Nyinyi mavichwa maji mnaodhani vyeti ndio the most determinant factor ya mishahara yenu eleweni kwamba, Kampuni na mashirika hayakuanzishwa ili yakupe mshahara, yalianzishwa kwa madhumuni ya kuleta faida au impact fulani. How much you are going to earn depends on how productive is the post.
Baada ya kutumia ubongo wako wooote hilo ndio uliloambua kwenye yoote niliyoandika. Shida ni kufikiri kwa kutumia viungo mbadala. Mimi ni mfanyabiashara na husafiri kwa mabasi sina na sijawahi kuwa dereva. Nilikuwa namwambia huyo juha mwenzio kuwa; mtu hulipwa kwa kazi anayofanya na mfumo wa mlipaji, sasa sijui hilo la dereva limetokea wapi.
Kwa kuwa inaonesha ujinga ni sehemu ya mwili wako acha nikupe mfano mwingine hai: Office Assistant pale TANAPA analipwa 713,000 kwa mwezi, mshahara ambao Bank Teller wa WDB hapati. Sasa uliza tena kama mimi ni OA. Mkichwa mkubwa akil huna
Nyinyi mavichwa maji mnaodhani vyeti ndio the most determinant factor ya mishahara yenu eleweni kwamba, Kampuni na mashirika hayakuanzishwa ili yakupe mshahara, yalianzishwa kwa madhumuni ya kuleta faida au impact fulani. How much you are going to earn depends on how productive is the post.
kwel wewe ni mwana mtoka pabaya!
How old are you??Me nimeuliza vizuri sasa dharau na kandia ya nini??Unafanya biashara hivi hiyo biashara yako inaenda vizuri kweli kama maneno yenyewe ndio kama hayo??Me sipo upande wowote ila nimekuuliza wewe swali, kwa sababu kila mtu anafanya kazi kutokana na mazingira na sehemu anayopenda, hata wewe vile vile hiyo biashara unayosema unafanya kama kweli, sidhani kama ulianza tu bila kufikiria kama utapata faida au hasara, so ni sawa na muanzisha thread alivyouliza ni kiasi gani wanalipa, wewe unakimbilia na kuanza kukandia mara vyeti mara wanaangalia kazi, ofcoz hamna mtu asiyejuwa, kila mtu anajuwa akitafuta kazi nini anachoenda kufanya na sio kufikiria mshahara.....so punguzaa dharau mkuu na jaribu kuongea vizuri....
mi nimecheka mwenyewe automatic, jamaa lina matusi kama wimbo fulan wa chid benz.
Umeuliza swali la kipuuzi kuliko mahitaji ya upuuzi ya nchi nzima. Mimi sikusema awe dereva, I was just advising him to think outside the box. Unapouliza GRADUATE analipwa kiasi gani ni dalili unaishi kwa illusions.
Kama mimi na wewe tukisoma mpaka darasa la saba, halafu tukaamua kuuza vitunguu, kesho akija mtu mwenye akili finyu kamaza huyu muanzisha mada na kuuliza "Graduate akiuza vitunguu anapata faida shilingi ngapi?" wapi katiba ya nchi inanizuia kumtukana?
Mimi sijui kuuma maneno bwana, ukileta ujinga nakupa za kichwa ubongo ukae sawa.
Mbona sijasikia JUHA yeyote akiuliza Graduate Rent or Coffin? Huu ndio ujinga unaowafanya Wakenya watamani kuja hapa. Mtu atalipa kodi ya nyumba kwa kiwango alichopanga mwenye nyumba. Mtu atapata mshahara kwa kiasi alichoona mwenye kumuajiri kuwa kinalingana na uzalishaji anaofanya.
Kuhusu biashara zangu usiwe na shida na lugha nayotumia. NAUZA MAJENEZA, tena una bahati nimeleta majeneza ya vichwa. Wahi upate moja uzike hicho kichwa chako kabla hakijakuletea matatizo
Hapo kwenye red... Naona kama unmataka kuharibu hali ya hewa sasa hivi..Hawa magraduate wa sasa hivi kwa kweli vilaza sijapata ona
Na hii ni kwa sababu degree zao za ujanja janja wanawake za kitandani wanaume za kununua
Chuoni akili yao inawaza
Kugoma
Kushabikia chadema
Wakipata boom sasa utawaona wanavyojazana pale Atm mlimani city ku draw 5,000
Halafu sasa tabia yao moja ni kuwa waiwa pale chuoni na waki graduate wanaona kuwa wao ndio wasomi kuliko wote yaani wao ndio wao
Mzazi unagonga lkuluUnanionea tu, mimi hata sijamtukana mtu. Nimesema tu kwa mujibu wa matendo na haiba zao. Wao ndio wametukana.Labda nikuulize mkuu: Kama Mr.A akichukua kiatu chake na kuweka mezani wakati tunakula, na mimi nikakichukua nikakitupa chini na kusema 'PUMBAV!', nani kati yetu ametukana? Yeye aliyefanya UPUMBAVU au mimi niliyesema alichokifanya?