Mwenye kujua mishahara ya graduate kwenye mabank

Hawa magraduate wa sasa hivi kwa kweli vilaza sijapata ona
Na hii ni kwa sababu degree zao za ujanja janja wanawake za kitandani wanaume za kununua
Chuoni akili yao inawaza

Kugoma
Kushabikia chadema
Wakipata boom sasa utawaona wanavyojazana pale Atm mlimani city ku draw 5,000
Halafu sasa tabia yao moja ni kuwa waiwa pale chuoni na waki graduate wanaona kuwa wao ndio wasomi kuliko wote yaani wao ndio wao

Hawa madogo wanadhani mi nawachukia, la hasha!

Bila enthusiasm hakuna tunakokwenda. Huyu sijui ndio katoka chuoni sijui ndio anajikoki lkn ukipima mawazo yake ni hopeless case. Tumefikia sehemu tunaamini makaratasi zaidi ya kile tunachoweza kufanya.

Hii ni namna ya wasomi wasio na elimu ambao kwa akili zao wanafikiri watu hutakiwa wasome ili walipwe mshahara. Huu ni upuuzi, hamna jina lingine.

Na - declare interest, mimi sijafika chuo kikuu, niliishia sekondari tu maisha hayakunipa nafasi ya kuendelea kusoma, lkn napenda kuona watu wanasoma na KUELIMIKA. Napenda waelimike kwa sababu, in near future, (5-7 yrs time) nakusudia ku-invest millions of tshs kwenye mradi ambao utahitaji watu wenye elimu kuufikisha napotaka. With this craps on job market, nitafeli.

Kama kuna mbumbumbu yeyote anaamini vyeti vyake ndio ukombozi kuliko his personal engagement basi awe wa kwanza kucomplain why is Said Bakhressa earning more than graduates (accountants, engineers, salesmen etc) he has employed.

Huu umbumbumbu hautawatoka kwa 'madesa' bali kwa kusoma vitabu. Mna madokta na maprofesa wangapi katika vyuo mnavyohitimu ambao maisha yao ni duni tu kulinganisha na watu waliojitoa kutumia akili zao na ubunifu?
 
Sio nimeuliza swali la kipuuzi, una ulizwa swali kutokana na unachoongea mwenyewe kutoka mdomoni mwako au hilo swali nililouliza nimelitoa wapi si umelisema mwenyewe??Nadhani ni better kutoa ushauri wa maana kwa muanzisha thread kuliko kuropoka kama unavyofanya coz naona unaandika maneno mengi ila haya make sense, me sio graduate wala sitafuti kazi, Sidhani kama nimeuliza unafanya biashara gani kwa sababu sihitaji kuijuwa ndio maana sijauliza nini unafanya....again narudia biashara unayofanya ulifikiria kiasi gani utapata ndio maana ulifanya na hukwenda straight kuifanya so kuna utofauti hapo na huyo mwanzisha thread?ina maana hiyo biashara mwanzo kabisa ulikuwa unajuwa utapata kiasi gani??mwanzo siku zote mgumu kwa kila mtu na sio kumlaumu kama amefanya makosa kuuliza hivyo......think!!

Kama huoni ujinga kwenye swali lake basi naomba wewe ujibu kwa hizo busara zako swali langu.

Je, graduate akiuza kiuza kuku sokoni atapata faida kiasi gani?
 
Kama huoni ujinga kwenye swali lake basi naomba wewe ujibu kwa hizo busara zako swali langu.

Je, graduate akiuza kiuza kuku sokoni atapata faida kiasi gani?

Ina maana mtu akitaka ku apply kazi akihitaji kujua ni kiasi gani hiyo kampuni wanalipa then ni ujinga na hajui kazi vizuri??Labda nieleweshe vizuri zaidi mkuu wangu naweza nikawa sijui.....
 
Ina maana mtu akitaka ku apply kazi akihitaji kujua ni kiasi gani hiyo kampuni wanalipa then ni ujinga na hajui kazi vizuri??Labda nieleweshe vizuri zaidi mkuu wangu naweza nikawa sijui.....

Wewe si umetaka kujua ujinga wa lile swali uko wapi, sasa unarukaruka nini, we jibu tu swali langu:

Je, Graduate akiuza kuku sokoni atapata faida kiasi gani?


mwanzo umesema hulielewi kwa kuwa lilikuwa na spelling mistake, sasa nimelirekebisha na kukuuliza upya, je bado hulielewi au ni gumu kwako?
 
Hivi mishahara inalipwa kwa aina ya makaratasi ulioandikiwa baada ya kufanya mtihani wa kukariri au kwa aina ya kazi utakayopewa?

HIvi mnajifunza nini shuleni nyie kizazi cha nyoka? Well then, acha nikuoneshe ujinga wa kuamini unachoamini badala ya kutumia elimu kufikiri.

Bank ya Mkombozi (na benki nyingine nyingi tu) ili uwe Teller, inalazimu uwe na Degree moja. Mshahara ni 540,000 - 800,000
FHI inamlipa dereva Tshs 800,000 - 1m kutegemeana na kiwango cha elimu na uzoefu.

Graduatism inawafanya mnakuwa maskini mabwege nyinyi

Hahahahaa,

"Graduatism", I like that. It is a mind crippling disease.
 
Hawa madogo wanadhani mi nawachukia, la hasha!

Bila enthusiasm hakuna tunakokwenda. Huyu sijui ndio katoka chuoni sijui ndio anajikoki lkn ukipima mawazo yake ni hopeless case. Tumefikia sehemu tunaamini makaratasi zaidi ya kile tunachoweza kufanya.

Hii ni namna ya wasomi wasio na elimu ambao kwa akili zao wanafikiri watu hutakiwa wasome ili walipwe mshahara. Huu ni upuuzi, hamna jina lingine.

Na - declare interest, mimi sijafika chuo kikuu, niliishia sekondari tu maisha hayakunipa nafasi ya kuendelea kusoma, lkn napenda kuona watu wanasoma na KUELIMIKA. Napenda waelimike kwa sababu, in near future, (5-7 yrs time) nakusudia ku-invest millions of tshs kwenye mradi ambao utahitaji watu wenye elimu kuufikisha napotaka. With this craps on job market, nitafeli.

Kama kuna mbumbumbu yeyote anaamini vyeti vyake ndio ukombozi kuliko his personal engagement basi awe wa kwanza kucomplain why is Said Bakhressa earning more than graduates (accountants, engineers, salesmen etc) he has employed.

Huu umbumbumbu hautawatoka kwa 'madesa' bali kwa kusoma vitabu. Mna madokta na maprofesa wangapi katika vyuo mnavyohitimu ambao maisha yao ni duni tu kulinganisha na watu waliojitoa kutumia akili zao na ubunifu?

Mkuu nakwambia hawa hamna lolote kutwa wanawaza starehe tu na wanawaza eti waajiriwe bank, Tra, Bandarini, Nssf, na makampuni ya simu anunue kiji opa chake muda wote awe amevaa smart.awe na bbm torch jumapili watoane out na mpenzi wake waende baharini, mtu kama huyu ukimwambia kuwa kuwa twende Morogoro tukalime anakuona hujasoma wakati unakuta umesoma na zaidi ya wazazi wao
 
Sawa mkuu, swali liko hivi:

Je, Graduate akiuza kuku sokoni atapata faida kiasi gani?

Nadhani swali lako lina majibu mengi, atawezaje kujuwa atapata faida kiasi gani bila kufanya hiyo biashara na kuingia humo ndani na kujua hiyo biashara ipoje?? ila kuna graduate wengine nimekutana nao wana experience ya kutosha tu.....Sio wote ambao wamemaliza chuo na hawajui nini wanaenda kufanya....
 
Wewe si umetaka kujua ujinga wa lile swali uko wapi, sasa unarukaruka nini, we jibu tu swali langu:

Je, Graduate akiuza kuku sokoni atapata faida kiasi gani?


mwanzo umesema hulielewi kwa kuwa lilikuwa na spelling mistake, sasa nimelirekebisha na kukuuliza upya, je bado hulielewi au ni gumu kwako?

Nimeshakujibu swali lako hapo juu na nimekuelewesha zaidi........
 
Nadhani swali lako lina majibu mengi, atawezaje kujuwa atapata faida kiasi gani bila kufanya hiyo biashara na kuingia humo ndani na kujua hiyo biashara ipoje?? ila kuna graduate wengine nimekutana nao wana experience ya kutosha tu.....Sio wote ambao wamemaliza chuo na hawajui nini wanaenda kufanya....

Swali langu ni very straight madam, nauliza hivi:

Faida kiasi gani itapatikana ikiwa graduate atauza ndizi sokoni?


Sijaomba maelezo ya ziada. We niambie tu 6000 au 2000 au 700,000
 
Watu wengi bongo hawajaelewa mfumo wa soko huria unavyo apply kwenye soko la ajira.

Wako stuck kwenye mindset kwamba mishahara inakuwa regulated na some sort of "Tume ya Bei" ya mishahara, ambayo ina standards kwamba ukiwa graduate tu mshahara wako ni kiasi fulani.

Ingawa ni kweli kwamba makampuni makubwa mengi yanakuwa na standards fulani, ni ukweli usiopingika pia kwamba mfumo wa soko huria unafuata nguvu za soko, na nguvu za soko zinataka vitu zaidi ya paper qualification.

Maana yake, unaweza kuwa graduate ukakosa hata huo mshahara uliowekwa standard wa graduate kwa sababu kila unapoenda kwenye interview huna presentation skills, hujui kujinadi, maswali utakayouliza yanaweza kuonyesha ni graduate jina etc.

Wakati huo huo akaja mtoto wa mjini ambaye hata kiingereza cha shida kama Emmanuel Nyaki, lakini ukimuweka kwenye kazi ana deliver, anafanya kweli, ana portfolio la projects za kimataifa linalomdistingusih anakuwa caliber tofauti kabisa na wasomi wa makaratasi. Anaenda kuwa bosi wao na kuwatuma.

Halafu watu wanasema majungu. Kumbe ni innovation na creativity tu.

Kuuliza swali tu kazi, "graduate kwenye ma bank" ndio maana yake nini? Kwamba ma bank yote yana formula moja ya compensation? Si bora hata ungeuliza "graduate katika benki fulani" tungejua watu wanaoijua hiyo benki wangeweza kukusaidia.

Ndiyo matokeo yake unapewa figure ya laki moja na elfu themanini, kwa sababu swali lako linaweza kuishia kujibiwa na lowest common denominator na kukupa jibu lisilo na maana kwako.

Ndivyo unavyoonyesha u graduate wako hivyo?
 
Woote mnapaprika,muuliza swali kataka kujua average salary anayopata graduate anapoanza banking carrier.....

Personally,niko kwenye bank ya nne hivi sasa,nilipoanza banking carrier miaka sita iliyopita,gross yangu ilikua 440,000,benki ya pili gross yangu ilikua 1000,000(hapa fresshers walikua wakilipwa gross ya 688,889),benki ya tatu nikawa nalipwa gross ya 2,200,000(hapa freshers walikua wakilipwa gross ya 700,000)...huku niliko now,niko sawa,ila fresshers wanaanzia na net ya 1,053,000)....

Viwango vinatofautiana mdogo wangu...bt kwa average ni kama kuanzia net ya 500,000 hadi 1,000,000...popote waweza angukia according to bank utakayoanzia.

Hint:
Huwezi kukua katika benk kwa haraka(cheo na salary pia) kama hutahama na kwenda benki nyingine...Ndio maana banjking sector ina labour turnover kubwa kuliko industry yeyote hapa nchini....

Kaza buti,achana na haters....si lazima wote tukauze ndizi,si lazima wote tuwe wafanyabiashara...na si lazima wote tuwe madereva pia.....
 
Watu wengi bongo hawajaelewa mfumo wa soko huria unavyo apply kwenye soko la ajira.

Wako stuck kwenye mindset kwamba mishahara inakuwa regulated na some sort of "Tume ya Bei" ya mishahara, ambayo ina standards kwamba ukiwa graduate tu mshahara wako ni kiasi fulani.

Ingawa ni kweli kwamba makampuni makubwa mengi yanakuwa na standards fulani, ni ukweli usiopingika pia kwamba mfumo wa soko huria unafuata nguvu za soko, na nguvu za soko zinataka vitu zaidi ya paper qualification.

Maana yake, unaweza kuwa graduate ukakosa hata huo mshahara uliowekwa standard wa graduate kwa sababu kila unapoenda kwenye interview huna presentation skills, hujui kujinadi, maswali utakayouliza yanaweza kuonyesha ni graduate jina etc.

Wakati huo huo akaja mtoto wa mjini ambaye hata kiingereza cha shida kama Emmanuel Nyaki, lakini ukimuweka kwenye kazi ana deliver, anafanya kweli, ana portfolio la projects za kimataifa linalomdistingusih anakuwa caliber tofauti kabisa na wasomi wa makaratasi. Anaenda kuwa bosi wao na kuwatuma.

Halafu watu wanasema majungu. Kumbe ni innovation na creativity tu.

Kuuliza swali tu kazi, "graduate kwenye ma bank" ndio maana yake nini? Kwamba ma bank yote yana formula moja ya compensation? Si bora hata ungeuliza "graduate katika benki fulani" tungejua watu wanaoijua hiyo benki wangeweza kukusaidia.

Ndiyo matokeo yake unapewa figure ya laki moja na elfu themanini, kwa sababu swali lako linaweza kuishia kujibiwa na lowest common denominator na kukupa jibu lisilo na maana kwako.

Ndivyo unavyoonyesha u graduate wako hivyo?

Mkuu Access bank,loan officer ambaye anafanya kazi ya loan officer anaanzia mshahara wa 180,000/=........mwambieni tu aelewe anakoelekea na sio kumponda...
 
Woote mnapaprika,muuliza swali kataka kujua average salary anayopata graduate anapoanza banking carrier.....

Personally,niko kwenye bank ya nne hivi sasa,nilipoanza banking carrier miaka sita iliyopita,gross yangu ilikua 440,000,benki ya pili gross yangu ilikua 1000,000(hapa fresshers walikua wakilipwa gross ya 688,889),benki ya tatu nikawa nalipwa gross ya 2,200,000(hapa freshers walikua wakilipwa gross ya 700,000)...huku niliko now,niko sawa,ila fresshers wanaanzia na net ya 1,053,000)....

Viwango vinatofautiana mdogo wangu...bt kwa average ni kama kuanzia net ya 500,000 hadi 1,000,000...popote waweza angukia according to bank utakayoanzia.

Hint:
Huwezi kukua katika benk kwa haraka(cheo na salary pia) kama hutahama na kwenda benki nyingine...Ndio maana banjking sector ina labour turnover kubwa kuliko industry yeyote hapa nchini....

Kaza buti,achana na haters....si lazima wote tukauze ndizi,si lazima wote tuwe wafanyabiashara...na si lazima wote tuwe madereva pia.....

Banking carrier ndo nini?
 
Umelala mbele eeh?

Mnakuwa watumwa wa vyeti na kuishi kwa illusions badala ya kuitumia elimu iwaletee manufaa. Maprofesa na madokta wangapi wanaajiriwa na wafanyabiashara ambao waliishia darasa la saba.

Kids, VISION + ENTHUSIASM = BUSINESS SUCCESS

Elimu inatafutwa ili tuitumie kufanikisha kazi zetu na sio ku-determine kiasi gani tulipwe. Hakuna mtu anaanzisha enterprise yake kwa lengo la kuajiri. Kuajiri si lengo, lengo ni kupata faida kwa hiyo ajira si haki yetu kutoka kwa waajiri, bali ni elimu zetu ni jembe la kuchukulia stahili zetu toka kwao.

Huu ujamaa usitufanye tuwe wajinga na kuamini kuwa unatakiwa usome upate cheti uajiriwe. In fact unatakiwa usome, uzalishe, upate stahiki yako.

Kwa herini, nawaachia ukumbi wenu muendelee kuulizana mishahara ya Bachelor, Masters na PhD. Japo ningefurahi kama kuna mmoja wenu angeniambia ni kwa nini walimu na maprofesa wa biashara hawana biashara kama Dewji.
 
Mkuu Access bank,loan officer ambaye anafanya kazi ya loan officer anaanzia mshahara wa 180,000/=........mwambieni tu aelewe anakoelekea na sio kumponda...

Yeye kauliza "kwenye mabank" na siyo Access Bank. Ndo maana nikasema bora hata angetaja jina la bank swali lake lingekuwa meaningful zaidi.

Ukizingatia kwamba si lazima mshahara wa loan officer Access Bank uwe sawa na mshahara wa loan officer Citibank.

Na hata huo mshahara wa loan officer Citibank tawi la Dar unaweza usiwe sawa na wa tawi la Mwanza.

Eradicate formulaic one-track mindedness.
 
Umelala mbele eeh?

Mnakuwa watumwa wa vyeti na kuishi kwa illusions badala ya kuitumia elimu iwaletee manufaa. Maprofesa na madokta wangapi wanaajiriwa na wafanyabiashara ambao waliishia darasa la saba.

Kids, VISION + ENTHUSIASM = BUSINESS SUCCESS

Elimu inatafutwa ili tuitumie kufanikisha kazi zetu na sio ku-determine kiasi gani tulipwe. Hakuna mtu anaanzisha enterprise yake kwa lengo la kuajiri. Kuajiri si lengo, lengo ni kupata faida kwa hiyo ajira si haki yetu kutoka kwa waajiri, bali ni elimu zetu ni jembe la kuchukulia stahili zetu toka kwao.

Huu ujamaa usitufanye tuwe wajinga na kuamini kuwa unatakiwa usome upate cheti uajiriwe. In fact unatakiwa usome, uzalishe, upate stahiki yako.

Kwa herini, nawaachia ukumbi wenu muendelee kuulizana mishahara ya Bachelor, Masters na PhD. Japo ningefurahi kama kuna mmoja wenu angeniambia ni kwa nini walimu na maprofesa wa biashara hawana biashara kama Dewji.

You are wrong.....

Fact ni kwamba sio wote hutaka kufanya biashara........na kuna sababu kama milioni za kwa nini.Labda uanzishe thread ili kupata uhakika zaidi.
 
Woote mnapaprika,muuliza swali kataka kujua average salary anayopata graduate anapoanza banking carrier.....

Personally,niko kwenye bank ya nne hivi sasa,nilipoanza banking carrier miaka sita iliyopita,gross yangu ilikua 440,000,benki ya pili gross yangu ilikua 1000,000(hapa fresshers walikua wakilipwa gross ya 688,889),benki ya tatu nikawa nalipwa gross ya 2,200,000(hapa freshers walikua wakilipwa gross ya 700,000)...huku niliko now,niko sawa,ila fresshers wanaanzia na net ya 1,053,000)....

Viwango vinatofautiana mdogo wangu...bt kwa average ni kama kuanzia net ya 500,000 hadi 1,000,000...popote waweza angukia according to bank utakayoanzia.

Hint:
Huwezi kukua katika benk kwa haraka(cheo na salary pia) kama hutahama na kwenda benki nyingine...Ndio maana banjking sector ina labour turnover kubwa kuliko industry yeyote hapa nchini....

Kaza buti,achana na haters....si lazima wote tukauze ndizi,si lazima wote tuwe wafanyabiashara...na si lazima wote tuwe madereva pia.....

Unaumwa wewe, tena unaumwa kweli kweli. Sio kwamba kukataa kusema maana yake hatujui mishahara huko ikoje. Weka salary slip yako moja hapa, tafuta hata ya mjombaako
 
Back
Top Bottom