Mwenye kujua mishahara ya graduate kwenye mabank

Yaani graduate wa kisasa ni balaaa..

Mshahara haulipwi kwa elimu ni kutokana na kazi unayofanya..

Ceo wengi dunian wana elimu ya degree moja tu labda ikiongezeka ni masters lakin wanalipwa hela nyingi kuliko phd holders au ma profesa..

Mshahara wa dereva tanapa ni mkubwa kuliko wa bank officers yeyete nchini.. Kuna mashirika ya kigeni na asas kibao zinalipa mshahara mikubwa kutokana na funds walizonazo, kazi wanazofanya, na profit wanayoingiza as company turnover..

Mimi ni graduate wa kibongo na nafanya kazi somewhere kwenye jina kubwa lakini nilishangaa secretary wa agricultural council of tanzania analipwa mshahara mara mbili yangu.. Na hapo mshahara naopata ni 7 digits.. Secretary analipwa usd 1500 as a basic salary per month bado ujaweka allowances na mengineyo yanayoleta gross package ni kama usd 2300.. Tena kasoma diploma magogoni hana hata hiyo degree unayojivunia.. Na watu kama hao wapo wengi tu mjini as wanafanya sehem zenye rate nzuri

Na kweli kazi anayofanya huyo secretary ni challenging kuliko kazi ya benk officer...

Dogo vyeti havipangi mishahara.. Position ndo inaamua mshahara na kila organisations ina rate yake hazifanan


Nakuunga mkono kaka kwa kuangalia hizo hints in blue, that is why waajiriwa katika mining industry na Tourism wakilalama mishahara ni midogo kwenye jamii ya wenye mtazamo mdogo huwa wanafikiri ni kujiliza. Maana turnover ya kampuni hizo inakuwa kubwa na mtu analipwa kidogo.
Big - up sana kaka.
 
Mada ilikuwa nzuri ila nimesikitishwa na majibu mabaya. Ila kwa ufupi si kuwa mshahara unalipwa kufuatana na digrii bali experience,cheo na muda kazini. Mfano dreva wa benki ya crdb analipwa mpaka mil1 na hana digrii. Ila ili uwe benki officer inabidi uwe na digrii na kwa taarifa nilizonazo,kabla ya makato benki ofisa mwenye digrii anakula gross ya lak8 ktk benki iyo iyo. Pia kuna dogo mmoja alikuwa anapata mshahara wa kuanzia shlak9 std chartered. Ivo vijana ukipata kazi fanya usikimbilie kuangalia mshahara ila angalia je maisha yatasogea?
 
Unanionea tu, mimi hata sijamtukana mtu. Nimesema tu kwa mujibu wa matendo na haiba zao. Wao ndio wametukana.

Labda nikuulize mkuu: Kama Mr.A akichukua kiatu chake na kuweka mezani wakati tunakula, na mimi nikakichukua nikakitupa chini na kusema 'PUMBAV!', nani kati yetu ametukana? Yeye aliyefanya UPUMBAVU au mimi niliyesema alichokifanya?

Hahahahhhahahahahaha....Daah!
 
Kuna bank na bank, ushauri wangu kama hauko interested na banking industry na hasa kwenye marketing usiende huko, i have been there done that, wote walio interested na banking wanatoboa ndani ya mwaka hadi mwaka na nusu, ni ujanja tuu
 
Tpb-915,000 kwa bank operation officer,
nmb- 950,000 kwa (boo)
kcb- 827,000 kwa (b00)
crdb-980,000 kwa (b00)
equity bank- 780,000
dtb 830,000,
access bank 680,000 kwa loan officers,
mkitaka zipo nyingi ntawaorodheshea, nime base rank za 2014/2015,
 
Tpb-915,000 kwa bank operation officer,
nmb- 950,000 kwa (boo)
kcb- 827,000 kwa (b00)
crdb-980,000 kwa (b00)
equity bank- 780,000
dtb 830,000,
access bank 680,000 kwa loan officers,
mkitaka zipo nyingi ntawaorodheshea, nime base rank za 2014/2015,

Mbona Access Bank wanaonewa sana?!??!?!?!??? Kuna tatizo gani kwa hii Bank????😢😢😢😢
 
Baada ya kutumia ubongo wako wooote hilo ndio uliloambua kwenye yoote niliyoandika. Shida ni kufikiri kwa kutumia viungo mbadala. Mimi ni mfanyabiashara na husafiri kwa mabasi sina na sijawahi kuwa dereva. Nilikuwa namwambia huyo juha mwenzio kuwa; mtu hulipwa kwa kazi anayofanya na mfumo wa mlipaji, sasa sijui hilo la dereva limetokea wapi.

Kwa kuwa inaonesha ujinga ni sehemu ya mwili wako acha nikupe mfano mwingine hai: Office Assistant pale TANAPA analipwa 713,000 kwa mwezi, mshahara ambao Bank Teller wa WDB hapati. Sasa uliza tena kama mimi ni OA. Mkichwa mkubwa akil huna

Nyinyi mavichwa maji mnaodhani vyeti ndio the most determinant factor ya mishahara yenu eleweni kwamba, Kampuni na mashirika hayakuanzishwa ili yakupe mshahara, yalianzishwa kwa madhumuni ya kuleta faida au impact fulani. How much you are going to earn depends on how productive is the post.

Hahaa kuna kaukweli umeongea hapo mkuu
 
Back
Top Bottom