Rais Samia, vyeti feki kwenye taasisi za Umma bado ni tatizo

Megalodon

JF-Expert Member
Apr 9, 2021
2,282
4,237
Mimi kwangu ukiniuliza the first genius president kuwahi kutokea kwenye ardhi ya Tanzania, in good spirit nitamtaja JPM.

Mpaka leo bado najiuliza yule MSUKUMA aliwezaje wezaje! Tukiri kuwa kwa TZ, jamii ya wasukuma huwa wanajua sana kusimamia mambo na yakaenda, shida kubwa tu ya wasukuma ni hawana soft skills.

Pamoja na jitihada zake, only 45% ya watumishi hewa na wenye vyeti feki ndio waliguswa, hii 55% bado ipo na kuna chances imeongezeka.

Tuna wasomi na graduates wengi mtaani. hatuna shida ya wasomi kwa sasa, hawa watu WAONDOLEWE . Kama mtu anaweza kufoji cheti, hii ni hatari na hasa kwenye taasisi nyeti.

Phase namba 2 a comprehensive audit ya kusafisha hawa watu ifanywe na this time they have to pay the govt for inconvenience .

Ruto, ameiga alichofanya JPM, he conducted a simple audit and found 2100 wana vyeti fake kwenye government offices.

Nashauri second comprehensive audit for public Servants . Tuanze na mashirika kama TRA, wizara zote, NIMR, EWURA.TMDA, NHIF, NSSF, MSD, GPSA, TTCL, TANROAD , MOI, JKCI, MNH.

Taarifa zisizo rasmi ni kuwa hawa watu wapo kwenye taasisi za Umma na baadhi yao walirudi baada ya kifo cha late JPM.

Currently kwa taarifa ambazo pia sio rasmi, hawa watu wameshaongezeka lakini na mishahara hewa nayo inatembea kama kawaida.

Hii ni whistle blower, Utumishi fanyeni kazi yenu, sio kila kitu Rais aseme ndio mfanye
 
Walirudije wakati walikuwa wamefukuzwa?
Hili swali anatakiwa aulize mtu ambaye hajakulia Tanzania, anaongea tu kiswahili cha kufundishwa. Kwa mfano ulifukuzwa vyeti feki halmashauri ya Mpwapwa - Dodoma mwaka 2017, huwezi kurudishwa upya halmashauri ya Songea - Ruvuma 2022 kama una connection nzuri!?.., hii nchi achana nayo, kipindi cha JK Kuna meli kubwa ilitia nanga imejaa container zaidi ya 6000. Wahuni waliifuta kwenye system kama vile haijawahi kutia nanga bongo na mapato yakaingia mfukoni. Hakuna kinachoshindikana nchi hii..
 
Tatizo la vyeti siyo dogo kama ilivyoaminiwa kwenye serikali ya Magufuli. Lina uhusiano wa moja kwa moja na kura feki, serikali feki, mahakama feki, watu feki (wasiojulikana),.....
Huwezi kufukia shimo kwa kuchimba jingine halafu ukajisifu umeondoa tatizo.
 
Tatizo la vyeti siyo dogo kama ilivyoaminiwa kwenye serikali ya Magufuli. Lina uhusiano wa moja kwa moja na kura feki, serikali feki, mahakama feki, watu feki (wasiojulikana),.....
Huwezi kufukia shimo kwa kuchimba jingine halafu ukajisifu umeondoa tatizo.
Kila kitu ni feki feki tu kwenye nchi hii.
 
Nashauri second comprehensive audit for public Servants . Tuanze na mashirika kama TRA, wizara zote, NIMR, EWURA.TMDA, NHIF, NSSF, MSD, GPSA, TTCL, TANROAD , MOI, JKCI, MNH.
Unachosema kipo, CAG anasema Watumishi 238 wana vyeti vyenye za kidato cha zinazofanana. Kwa mfumo wa NECTA wa sasa sio rahisi namba za form four zifanane.
20240419_010842.jpg
 
Mimi kwangu ukiniuliza the first genius president kuwahi kutokea kwenye ardhi ya Tanzania, in good spirit nitamtaja JPM.

Mpaka leo bado najiuliza yule MSUKUMA aliwezaje wezaje! Tukiri kuwa kwa TZ, jamii ya wasukuma huwa wanajua sana kusimamia mambo na yakaenda, shida kubwa tu ya wasukuma ni hawana soft skills.

Pamoja na jitihada zake, only 45% ya watumishi hewa na wenye vyeti feki ndio waliguswa, hii 55% bado ipo na kuna chances imeongezeka.

Tuna wasomi na graduates wengi mtaani. hatuna shida ya wasomi kwa sasa, hawa watu WAONDOLEWE . Kama mtu anaweza kufoji cheti, hii ni hatari na hasa kwenye taasisi nyeti.

Phase namba 2 a comprehensive audit ya kusafisha hawa watu ifanywe na this time they have to pay the govt for inconvenience .

Ruto, ameiga alichofanya JPM, he conducted a simple audit and found 2100 wana vyeti fake kwenye government offices.

Nashauri second comprehensive audit for public Servants . Tuanze na mashirika kama TRA, wizara zote, NIMR, EWURA.TMDA, NHIF, NSSF, MSD, GPSA, TTCL, TANROAD , MOI, JKCI, MNH.

Taarifa zisizo rasmi ni kuwa hawa watu wapo kwenye taasisi za Umma na baadhi yao walirudi baada ya kifo cha late JPM.

Currently kwa taarifa ambazo pia sio rasmi, hawa watu wameshaongezeka lakini na mishahara hewa nayo inatembea kama kawaida.

Hii ni whistle blower, Utumishi fanyeni kazi yenu, sio kila kitu Rais aseme ndio mfanye
Na hili nalo mkaliangalie, Mimi nimemwangalia Mkurugenzi wa Halmashauri ya mafia Kwa taarifa za kuiba utu wa Mtu
 
Tatizo la vyeti siyo dogo kama ilivyoaminiwa kwenye serikali ya Magufuli. Lina uhusiano wa moja kwa moja na kura feki, serikali feki, mahakama feki, watu feki (wasiojulikana),.....
Huwezi kufukia shimo kwa kuchimba jingine halafu ukajisifu umeondoa tatizo.

Kura feki bado ni tatizo
 
Ruto kakutana na watu kama buku 2 ,kasema atawafungulia mashtaka watudishe na pesa mshahara wote

Nchi hii imechezewa sana miaka ya 90's watu kadhaa walijaza kwa kufoji vyeti, kwa kweli phase ya pili ipite.
 
Back
Top Bottom