Mwenye CV ya Mwl. Christopher Mwakasege aiweke hapa

Mwenye CV ya Mwl. Christopher Mwakasege aiweke hapa

Kinachouma ni kuona wana wa Mungu wakiwekeza matumaini yao kwa mwanadamu kuliko Mungu mwenyewe.

Mungu atupe maarifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uyo Mungu yuko wap? Tuonyeshe tumfuate tuwekeze km sio hao watu wake ario walidhia Mungu tutamjuaje pasipo kuwafuata watumishi wake acha upopoma km unajua alipo twambie tumfuate.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina cv yake. Mimi namheshimu ila ninawasiwasi na doctrine yake ya "mzaliwa wa kwanza lango la baraka"

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna
Kuna ukweli mkuu Ila wanaojua zaidi watakuja kutuambia
Nadu, ni wapi exactly una wasiwasi napo?
Unaweza paelezea tukajadili au na wengine tujifunze.
Wasiwasi wako ni nini mkuu?
Hebu tupe uelewa wako kwenye hili mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh.silielewagi pia hilo la mzaliwa wa kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani anaongelea fundisho la Mwl Mwakasege kwamba mzaliwa wa kwanza ndiye lango la baraka kwenye familia, hivyo ili mbarikiwe ni muhimu kumwombea huyo amjue Mungu. Kama mzaliwa wa kwanza atakuwa na mwelekeo mbovu basi atafunga baraka za watoto wengine wote.

Tunaweza kujadili hilo kwa mujibu wa maandiko wakuu

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Nadhani anaongelea fundisho la Mwl Mwakasege kwamba mzaliwa wa kwanza ndiye lango la baraka kwenye familia, hivyo ili mbarikiwe ni muhimu kumwombea huyo amjue Mungu. Kama mzaliwa wa kwanza atakuwa na mwelekeo mbovu basi atafunga baraka za watoto wengine wote.

Tunaweza kujadili hilo kwa mujibu wa maandiko wakuu

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Nadhani tuanze kujadili sasa, hebu tupe utangulizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani anaongelea fundisho la Mwl Mwakasege kwamba mzaliwa wa kwanza ndiye lango la baraka kwenye familia, hivyo ili mbarikiwe ni muhimu kumwombea huyo amjue Mungu. Kama mzaliwa wa kwanza atakuwa na mwelekeo mbovu basi atafunga baraka za watoto wengine wote.

Tunaweza kujadili hilo kwa mujibu wa maandiko wakuu

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Si kweli kwani abrahamu.isac, jacob Judah, Daudi walikuwa wazaliwa wa kwanza??
 
Nilikuwa namwamini lakini yafuatayo yananofanya kumtilia shaka
1. Macundisho feki ya mzaliwa wa kwanza
2.kubebe mchanga kwenda kuuombea
3. Kuongea lugha isiyoeleweka kwa maneno ya kisanii
4. Kufundisha agano LA kale kuliko agano jipya (summary)
 
Ana gospal ya "mwamba ngoma" kuna

1. mzaliwa wa kwanza
2. Kupanda mbegu
3.kupayuka payuka Asante Yesu Asante Yesu...kama way ya kupokea Roho Mtakatifu
4. Kuongea maneno yasio na tafsiri kama "Rika rikondo ro shabakora"
5. Kukusanya mapato kidhalimu kama sadaka ya utakaso
6.kujivika utauwa utasikia alikuja " Yesu Mungu aliniambia mara Roho Mtakatifu kaniambia
7 . Bado anaamini Uyahudi kuliko Kristo nini safari za Israel?
8. Anajua udhaifu wa waumini anapinga theology ila yeye anaisoma akapata maarifa anatengeneza somo huku akidai ni Mungu kamfafanulia
9. Ni mthiologia mjanja mjanja anayetumia furusa vizuri

NB. Waufuasi wake watakuja na mapovu ya kutosha ila ujumbe ufike na ole wake amtegemeaye mwanadamu na kumfanya.......
Asante.. I think umemaliza..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasikia alimtanguliza sedekia kuzimu hadi leo yupo kule anatumika kuimba!!!WANAOJUA WATUHAKIKISHIE!MI NILISHA POTEZA IMANI NA HAWA WATU!!!
Mkuu mtapata dhambi bure alisimulia vizuri jinsi sedekia alivyokuwa akiumwa na hatua alizochukua ikiwemo kumuuliza Mungu kwa maombi kwanini sedekia haamki je wanaongea nini (sedekia na Mungu sedekia alikuwa ulaya Israel nadhani maana mtumishi alisema alikuwa anaenda bahari flan nmesahau jina ipo kwenye bible kusali......

Akasema kuna wakati alibadilisha maombi mazuri akawa anaweka chini nguo za sedekia usiku anasali kwa kuomba maombi ya Yeriko.......but mwisho Mungu alimjibu Sedekia harudi then alikufa.....

Niliwahi jaribu hiyo style ya kuomba sema mimi nilikuwa nimeandika maombi yangu kwenye karatasi then nadakika kwa kupiga magoti mbele zake siku 3 tu nilifunuliwa vile vitu nilivyokuwa navionba tena kwa upana zaidi...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh! utata mtupu hayo maombi yasipofanyikia kwenye hiyo bahari Mungu hatayasikia?
Mkuu mtapata dhambi bure alisimulia vizuri jinsi sedekia alivyokuwa akiumwa na hatua alizochukua ikiwemo kumuuliza Mungu kwa maombi kwanini sedekia haamki je wanaongea nini (sedekia na Mungu sedekia alikuwa ulaya Israel nadhani maana mtumishi alisema alikuwa anaenda bahari flan nmesahau jina ipo kwenye bible kusali......

Akasema kuna wakati alibadilisha maombi mazuri akawa anaweka chini nguo za sedekia usiku anasali kwa kuomba maombi ya Yeriko.......but mwisho Mungu alimjibu Sedekia harudi then alikufa.....

Niliwahi jaribu hiyo style ya kuomba sema mimi nilikuwa nimeandika maombi yangu kwenye karatasi then nadakika kwa kupiga magoti mbele zake siku 3 tu nilifunuliwa vile vitu nilivyokuwa navionba tena kwa upana zaidi...

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mh bado ukakasi mwakasege akatubu tu
Mkuu mtapata dhambi bure alisimulia vizuri jinsi sedekia alivyokuwa akiumwa na hatua alizochukua ikiwemo kumuuliza Mungu kwa maombi kwanini sedekia haamki je wanaongea nini (sedekia na Mungu sedekia alikuwa ulaya Israel nadhani maana mtumishi alisema alikuwa anaenda bahari flan nmesahau jina ipo kwenye bible kusali......

Akasema kuna wakati alibadilisha maombi mazuri akawa anaweka chini nguo za sedekia usiku anasali kwa kuomba maombi ya Yeriko.......but mwisho Mungu alimjibu Sedekia harudi then alikufa.....

Niliwahi jaribu hiyo style ya kuomba sema mimi nilikuwa nimeandika maombi yangu kwenye karatasi then nadakika kwa kupiga magoti mbele zake siku 3 tu nilifunuliwa vile vitu nilivyokuwa navionba tena kwa upana zaidi...

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijaandika popote kwamba maarifa au elimu sio muhimu. Narudia nilichoandika kama hukusoma vizuri, "mambo ya kiroho hayapimwi kwa CV"...

Mtume Paulo alikuwa na elimu ya juu sana na ilikuwa yenye manufaa makubwa kwa apostolic church halikadhalika Luka mwandishi wa kitabu cha Injili ya Luka na Acts of Apostles.
Ila wapo ambao pia walifanya kazi ya Mungu bila kuwa na Elimu kubwa ya kidunia kama akina Petro na Barnabas.
Elimu ni muhimu ila sio kipimo.
Asante.

Kwa sasa maarifa ni jambo muhimu sana.
Huwezi kuwa huna elimu ufundishe kitu. Hata hilo neno la Mungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom