The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,555
- 17,605
Mwendesha mashitaka mkuu wa mahakama ya kimatiafa Bwana Khan kwenye kipindi cha CNN anasena alionywa mwanzoni kabisa kwamba mahakama ya ICC ni kwa ajili ya Afrika na wahuni wengine kina Putin.
Hivyo mahakama ya ICC hairuhusiwi kuwashtaki watu wa ulaya.
Msikilize hapa.
View: https://twitter.com/Semkae/status/1792757747231986109?s=19
Hivyo mahakama ya ICC hairuhusiwi kuwashtaki watu wa ulaya.
Msikilize hapa.
View: https://twitter.com/Semkae/status/1792757747231986109?s=19